MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Mnajifanya watakatifu kutumia lugha za vificho. Eti kiungo cha kike. Nipeni mchanganuo hapo
Si umeelewa lakini mkuu? Ungekua hauja elewa usinge sema hivyo.
Mnajifanya watakatifu kutumia lugha za vificho. Eti kiungo cha kike. Nipeni mchanganuo hapo
Jamani kuuliza si ushamba. Je mwanamme anaweza kununua hiyo condom na kula nayo uroda bila mwanamke?
that is hillarious hahahahah!
ZA10 U MADE ME LAUGH SO LOUD!
Do an experiment halafu utujuze ilikuwaje hahahaha.
BAK,
KWELI watu wamejichoka na kuwachoka wengine..... hadi kujinunulia mwanasesere!?
that is hillarious hahahahah!
ZA10 U MADE ME LAUGH SO LOUD!
Do an experiment halafu utujuze ilikuwaje hahahaha.
Nimeshaziona za bandia siku hizi kinyangarata kinafanana na nanino basi unakinunua na kushughulika nacho labda hicho kinawafaa wenyewe wazungu halafu pia kuna madoli makubwa kabisa size ya mtu mzima nayo ni bei mbaya sana unamuona baba mzima amelinunua eti likamsaidie kushughulika na analala nalo kitandani. Ha ha ha ha ha
Niliona kipindi kwenye TV karibu nivunjike mbavu maana ni mataahira tu ndiyo wanaweza kulala na sanamu kitandani na kuona kama wamelala na mwanamke lakini jamaa walikuwa serious kabisa. Wazungu!!!!! ha ha ha ha waache waende zao
BAK,
KWELI watu wamejichoka na kuwachoka wengine..... hadi kujinunulia mwanasesere!?