Egyptian Opposition Leader (Former UN Atomic Energy Commission)
President of Liberia Ellen Johnson-SirLeaf "Iron Lady (Former UNAssistant-Secretary General)
Ukisoma habari za mataifa mengine unaona jinsi gani wale waliopata elimu na kufanya kazi professional nyingi zenye influence kama UN na Mabenki makubwa duniani wanachangia sana nchini mwao. Nasikitika sana kuona hakuna Watanzania na Wale tunaowahamu kutoa michango yao Tanzania Wakati Mgumu kama huu wa Taifa letu. Sababu kubwa ya Watanzania Influential Duniani Kutotoa Ushahuri au Kuleta vyote Vizuri Walivyo Jifunza Kupitia Kazi Zao nini? Mfano mzuro ni Salim Ahmed, kafanya kazi ktk UN na amehusika ktk Nations nyingi to build Reconciliation Committees na Institutions Mataifa mengi. Kwanini siku zote anakaa kimya hata miaka yote hii "Akijua Katiba ya Tanzania ni undemocratic?" Labda kuna wanafahamu majibu tusaidiaeni...Inawezekana Vitisho kama vya David Hosea alivyovipata. Je, kipindi cha serikali ya muda kikija watajihusisha na nchi yao?
Asha-Rose Migiro
Salim Ahmed Salim
WikiLeaks cables: Tanzania official investigating BAE 'fears for his life