Infi (hasa jinsia me) muwashukuru sana watengenezaji wa ze valuu na ze konyegi maana zinawasaidia sana kwenye ku du ze nidi fulu mana bila hizo wengi wangekuwa wanaadhirika uongo?
Hii ni dalili tosha kuwa maty hii kitu unahitaji sana ikianzia kwetu at the end of the day tunai supply kwenu, hebu tupe experience ya mtu uliyekutana nae kapiga hiyo cocktail
Mwe we asipirini me sijamegwa nina mwaka sasa nimeokoka
Infi (hasa jinsia me) muwashukuru sana watengenezaji wa ze valuu na ze konyegi maana zinawasaidia sana kwenye ku du ze nidi fulu mana bila hizo wengi wangekuwa wanaadhirika uongo?
Mwe we asipirini me sijamegwa nina mwaka sasa nimeokoka
Mwe we asipirini me sijamegwa nina mwaka sasa nimeokoka
Nani kakwambia kuwa kumegwa ni dhambi Maty?Anyway, kama ni mwaka sasa bado kumegwa basi nadhani itakuwa taarifa muhimu sana akiipata mpwa Finest!
te te te!! :amen:Hongera maty, jamaa lililokumega jana lilikunywa valuu ngapi?
Mh mbona sisi wengine hivyo unavyovisema hatunywi kabisa???? na hatujasikia kelele au maswali juu ya performance!!!! Nahisi ni baadhi ya fikra tu !
Mwaka? mbona valuu ilikuwa bado? Ulijuaje sasa? Au unadokoa na baba mchungaji?
kama hujamegwa kwa nini umewasemea wenzio bila valuu na nyagi hawawezi kusimamia. unajua ki afya ukishaanza kuwa na hisia kwamba bila kitu hiki hakiwezifanyika ujue ni ugonjwa na ulemavu wa hatari. for the rest of your life bila kutumia hizo kazi hazifanyiki.
Matt huyo mwenzako kama lazima atumie hizo ndiyo afanye kazi basi mpeleke hospitali. what if hakuna no kazi at all!