Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Ili habari itimie ni budi tutajiwe na hayo majina..sasa mlijuaje akaunti zina pesa kiasi gani lakini msijue ni akaunti za akina nani?
Tusiwekane roho juu wala tusiogopane,tutajieni majina ili tujue namna ya kufanya,tuwajue wenye hivyo vitita walivipataje na why wamevihifadhi huko uswisi
Wengine kama tunawadai tukiwajua watulipe chet kabisa...hebu tuache mchezo bana tutajiane..kama mnawaogopa kwa nini mlianza kutuambia nusunusu?
Watajeni na source za mshiko zao.....
Tusiwekane roho juu wala tusiogopane,tutajieni majina ili tujue namna ya kufanya,tuwajue wenye hivyo vitita walivipataje na why wamevihifadhi huko uswisi
Wengine kama tunawadai tukiwajua watulipe chet kabisa...hebu tuache mchezo bana tutajiane..kama mnawaogopa kwa nini mlianza kutuambia nusunusu?
Watajeni na source za mshiko zao.....