Haya ndio matatizo makubwa sasa Tanzania
Incompetence
Tatizo la umeme
Rushwa na mafisadi wao
Miaka 50 ya UHURU,bado budget yetu inategemea Wazungu
Miaka 50 ya UHURU,bado wagonjwa wanalala sakafuni
Miaka 50 ys UHURU,elites wa CCM na serikali wanatibiwa nje ya nchi from Nyerere,Vasco Da Gama,Diria,Pinda ,Malecela etc
Mediocre MPs na Bunge,ambalo limeshindwa kuicheck serikali.
Tunaona usinziaji BUNGENI,maana hawa waheshimiwa ni POSHO tu,na wanadanganya wananchi huko vijijini
Ngono
Kuenea kwa AIDS ,sio accident.Hakuna morality maana ujumbe kutoka makanisani/misikitini umeshindwa kabisa.
Angalia DODOMA kwenye vikao vya BUNGE utajua nini maana ya morality ya hawa waheshimiwa.
Tunaona ngono ya hawa elites wanapotembelea ULAYA eti kukutana na diaspora,ni ngono ngono tu.
Starehe
Starehe ndi zimetuponza sana.Nchi za wenzetu hazikuendelea by accident.
Angalia jiji la DSM jioni ,watu wanashinda kwenye mabaa!Na mgao huu,watu wanatumia muda mwingi kwenye vikao ,halafu ndio wakalale gizani.
Vasco Da Gama yeye starehe yake ni kuruka hewani kwa cost ya tax payers.
Wenzetu wanatumia Jumamosi kufanya may be kufanya maandamano ya charity,au kupinga serikali kama hawataki jambo fulani.
Kwa mfano summer hii Ulaya,unaweza kukuta wanaendesha baiskeli say umbali toka Dar mpaka Mlandizi kuchangia charity fulani,hasa mambo ya cancer,ambalo ni killer disease kwa wazungu.
Mpaka hapo wasomi wa DAR,na mijini pote Tanzania watakaposema enough is enough,quality ya maisha haya sio nzuri,UMEME wa mgao,
na matatizo mengi ambayo ni self inflicted kutokana na policy mbovu za serikali ,we all doomed!
Incompetence
Tatizo la umeme
Rushwa na mafisadi wao
Miaka 50 ya UHURU,bado budget yetu inategemea Wazungu
Miaka 50 ya UHURU,bado wagonjwa wanalala sakafuni
Miaka 50 ys UHURU,elites wa CCM na serikali wanatibiwa nje ya nchi from Nyerere,Vasco Da Gama,Diria,Pinda ,Malecela etc
Mediocre MPs na Bunge,ambalo limeshindwa kuicheck serikali.
Tunaona usinziaji BUNGENI,maana hawa waheshimiwa ni POSHO tu,na wanadanganya wananchi huko vijijini
Ngono
Kuenea kwa AIDS ,sio accident.Hakuna morality maana ujumbe kutoka makanisani/misikitini umeshindwa kabisa.
Angalia DODOMA kwenye vikao vya BUNGE utajua nini maana ya morality ya hawa waheshimiwa.
Tunaona ngono ya hawa elites wanapotembelea ULAYA eti kukutana na diaspora,ni ngono ngono tu.
Starehe
Starehe ndi zimetuponza sana.Nchi za wenzetu hazikuendelea by accident.
Angalia jiji la DSM jioni ,watu wanashinda kwenye mabaa!Na mgao huu,watu wanatumia muda mwingi kwenye vikao ,halafu ndio wakalale gizani.
Vasco Da Gama yeye starehe yake ni kuruka hewani kwa cost ya tax payers.
Wenzetu wanatumia Jumamosi kufanya may be kufanya maandamano ya charity,au kupinga serikali kama hawataki jambo fulani.
Kwa mfano summer hii Ulaya,unaweza kukuta wanaendesha baiskeli say umbali toka Dar mpaka Mlandizi kuchangia charity fulani,hasa mambo ya cancer,ambalo ni killer disease kwa wazungu.
Mpaka hapo wasomi wa DAR,na mijini pote Tanzania watakaposema enough is enough,quality ya maisha haya sio nzuri,UMEME wa mgao,
na matatizo mengi ambayo ni self inflicted kutokana na policy mbovu za serikali ,we all doomed!