Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Inbreeding-Kuzaana kupitia uzao ulio na ukaribu wa damu umeelezwa kusababisha vifo vya utotoni, kupata uzao wenye kinga kidogo ya magonjwa.Ulemavu wa akili na mwili na mengineyo.Yote haya yanapunguzia jamii hizo uwezo wa kushindana kifikra na baadaye kuleta mzigo wa kuwalimisha,kuwatunza walemavu na mengineyo.Yote haya huendelea hadi kugusa uchumi wa nchi na matoeo yake kuzamisha taifa zima.Hali hii pia inaleta mgawanyiko ktk jamii pale tofauti za kiuchumi, maendeleo mengine zikionekan akuongezeka.
sidhani kama hili limeweza jadiliwa vyema na serikali yetu, na hata jamiii husika.manung`uniko mengi yaliyppo ktk jamii yanatoka ktk jamii km hizi.Ni muda muafaka watu wakaanza tazama huu upande
sidhani kama hili limeweza jadiliwa vyema na serikali yetu, na hata jamiii husika.manung`uniko mengi yaliyppo ktk jamii yanatoka ktk jamii km hizi.Ni muda muafaka watu wakaanza tazama huu upande