suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,960
- 1,205
Kuna waziri mmoja katika serikali za awamu zilizopita alikuwa waziri wa maji, alikuwa hataki kupigwa picha hii ni kutokana na sura yake kuwa mbaya yan hata sura yake mwenyewe hakupenda kuiona. sasa akawa amealikwa kwenda kuzindua visima vya maji baada ya kuvizindua akaamua kuchungulia kunako mojawapo wa visima alivyozindua baada yakuchungulia kwenye kisima akashangaa alichokiona, hapo hapo akamgeukia mwenyeji wake akamuuliza mara hii mmeingiza viboko kwenye hiki kisima!