Jamani wanajamii forum,na wale wahusika wa Nishati na Madini,naomba nichochee wakazi wa Chita wagomee sherehe za miaka 50 ya uhuru kwa ukatili wanaofanyiwa na TANESCO kunyimwa umeme,wanaishia kuona nguzo tu zinazopeleka umeme Kidatu. Shame on you TANESCO na yeyote ambaye alitakiwa afatilie suala hili na amekaa kimya.
Jeshi letu lazima liheshimiwe,wanafanya kazi nzuri ya kutulinda na wanastahili huduma za kijamii kama umeme. Ukipita kambini utaona nyaya za jenereta ambayo huwaka masaa machache na si kwa watu wote. Inasikitisha sana
Jeshi letu lazima liheshimiwe,wanafanya kazi nzuri ya kutulinda na wanastahili huduma za kijamii kama umeme. Ukipita kambini utaona nyaya za jenereta ambayo huwaka masaa machache na si kwa watu wote. Inasikitisha sana