bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Naona leo JF tunaingia ma-superuser tu!
Mbona kiblurei sana,mwendhio sloo lena hapo nifafanulie tafadhali!
weee mwche ajishongondoe, kuna thread nimeingia hakuna hata button moja.......
Naona leo JF tunaingia ma-superuser tu!
Mbona kiblurei sana,mwendhio sloo lena hapo nifafanulie tafadhali!
inawezekana kabisa hata mimi naweza anika namba yangu hapa. Sioni tatizo?hivi inawezekana jf kukawa na membaz ambao wako real willingly kutoa details zao?namaanisha kwamba no zao zikajulikana kwa mfano hili tatizo la jf for these two daiz,mm niko tayari kutoa my no ili jf inapopata tatizo nitumiwe japo msg nijue na mm niwajulishe wenzangu pia?maana kama jana nimegombana na watu karibia wa 3 just because jf was not on air,nikajua wamefunga,imebidid tu now nikaombe msamaha.
Mnaonaje wajameni?
ha ha ha kama ni hao twins hakuna shaka bibie!!
mmh maybe all you will be mshkakis
Tumerudi sasa!!!
Nitawa-PM number wapwa wote...................im on line 10Hr a day.
Mhhh
Huitoe wapi wewe hii?
inawezekana kabisa hata mimi naweza anika namba yangu hapa. Sioni tatizo?
Binamu nini hii?
Hapa tena! Good morning! Kuna nini hapa mnadiskasi leo?
ha ha ha soma kiarabu kuna maswali yako unatakiwa kujibu!Hapa tena! Good morning! Kuna nini hapa mnadiskasi leo?
ina maana wee ndo unaamka?
Nahisi nahitaji tiba. Wapi valuu yangu?ha ha ha soma kiarabu kuna maswali yako unatakiwa kujibu!
Nahisi nahitaji tiba. Wapi valuu yangu?