FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Ila Invisible na clue yake duh watu tumeshindwa hata kushusha Juice sababu ya hii issue
Sikutegemea kama itakuwa hivi !
Sikutegemea kama itakuwa hivi !
ha ha ha bibie usimtishe sana ataogopa kuja siku nikimkaribisha a cup of coffee!!weee jidanganye huyo mpwa anakamata vya moto huo
Charity kamfungia ndani leo....Xpin binamu yetu wa ukweli yuko wapi jamani?
(still on vekesheni (eliza.chawote ,)
unamega na kuacha tena kwa kujiexpress
wanyange wanaogopa sasa....
Comrade labda wanaogopa mifupa hiyo inayotembea......watu wamezoea minyamanyama...Lol
unamega na kuacha tena kwa kujiexpress
wanyange wanaogopa sasa....
Teh teh! mzee wa kudownload,falling in love kwa Fidel ni msamiati.
Charity kamfungia ndani leo....
Xpin binamu yetu wa ukweli yuko wapi jamani?
(still on vekesheni (eliza.chawote ,)
afu kama ulikuwepo, huwa anajitahidi sana kunifitini na B wangu sema my hubby wangu muelewa sana.........Bora umefahamu.Kaa nae mbali asije akakuponza kwa B wako bure.
ha ha ha bibie usimtishe sana ataogopa kuja siku nikimkaribisha a cup of coffee!!
Mpaka hapo nishaanza kukuogopa.Ukinikaribisha cup of cofee itabidi nije na bodigadis,kulia bht na kushoto Pearl.
Mpaka hapo nishaanza kukuogopa.Ukinikaribisha cup of cofee itabidi nije na bodigadis,kulia bht na kushoto Pearl.
ha ha ha kama ni hao twins hakuna shaka bibie!!Mpaka hapo nishaanza kukuogopa.Ukinikaribisha cup of cofee itabidi nije na bodigadis,kulia bht na kushoto Pearl.
Naona leo JF tunaingia ma-superuser tu!
mi nikadhani nimepigwa ban nikajaribu kuregister upya nikapiga olaa tena nikajua hii problema yao.Meku hizo priority mlipata wachache, sisi toka saa tisa jana tulishindwa kulog in tukabaki kuchungulia tu kama wageni.....
na wewe najua kwa nini ulipata unafikiri ungekuwa mgombana unge-access??? subutu....
mmh maybe all you will be mshkakisthen you will be safe......
Tumerudi sasa!!!uliona eeeh!!! no wapwaz no binamuz nikasema kwisha habari yetu........
tehe tehe!! nimeipenda hii, lakini unajua mshikaji kwa lafudhi ya kichaga cha kishumendu ni mshikaki!!mmh maybe all you will be mshkakis