Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
Hivi inawezekana JF kukawa na membaz ambao wako real willingly kutoa details zao?namaanisha kwamba no zao zikajulikana kwa mfano hili tatizo la Jf for these two daiz,mm niko tayari kutoa my no ili JF inapopata tatizo nitumiwe japo msg nijue na mm niwajulishe wenzangu pia?maana kama jana nimegombana na watu karibia wa 3 just because JF was not on Air,nikajua wamefunga,imebidid tu now nikaombe msamaha.
Mnaonaje wajameni?
Mnaonaje wajameni?