kande kavu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 234
- 86
- Thread starter
- #21
Inawezekana, lakini kulingana na maelezo yako kwamba umekapa mgogo ili kasikutege, hapo nina wasiwasi, Hujaacha ila unapumzika. maana ungekuwa umeacha usingekuwa na wasi wasi wa kutegwa ungekaona kama mwanaume mwenzio.
Unacheza na injini ya uzinzi wewe? Mimi sio hanisi kiasi cha kujiachia kwenye majaribu kivile.Kushinda hii kitu na hasa kama ulishawahi kuifanya kama msosi unahitaji precautions kweli kweli na nasikitika kusema sio rahisi kama unavyodhani. Naongelea my exprience yangu mimi mweyewe peke yangu tu! Nimetoa msisitizo hapo ili uelewe vizuri kwa sababu I see and exprience the difference. It is gone my dear,gone.