Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu embu tupe mdokezo kidogo kuhusu G.Bush na Museveni walisema nini kuhusu HIV NA UKIMWI.
Mkuu,vipi kuhusu mbadilishano wa manii,maana si wote mtafika kileleni kwa maana ya wote kutoa semen
Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.
Mkuu Deception salute Mkuu, katika hiyo link ya mwisho uliyoitoa baada kusoma. kilichopo ndani nikakutana na nisichokijua na nikafunguka zaidi akili, kuhusu uwongo unaofanywa na Makampuni ya madawa juu ya ungonjwa wa Peptic ulcers.
Tusipokuwa wawelevu na kuwa wadadisi wa mambo jamaa watatuokota sana na kutafanya mtaji wa maendeleo yao wakati sisi tunazidi kuumia.
Kwa upande wa pili wanakuja na kudai wanatusaidi kuondokana, au kututibu kumbe wana agenda yao binafsi ya kutufanya tuwe wateja wao wa kudumu kwa kutuongezea maradhi.
Yes,hii ndio habari...sio kila wakati siasa tuuu hadi kwenye afya zetuNi kweli kabisa,cha msingi ni watu kubadilika na kupenda kuhoji/kudadisi zaidi pale wanaposikia habari tofauti na zile walizozizoea,huwa nafarijika sana kuona watu kama wewe mna juhudi sana kufuatilia mambo kama haya,hongera sana na utajua zaidi ya hayo,jipe muda tu.
Kuna watu bado wako rigid na bongo zao zina ganzi,wanapinga bila hata kujua wanachokipinga,wengine wanakuja na kauli za vitisho(mikwara) eti mimi napotosha na ninastahili kuadhibiwa.Nawasikitikia sana watu hawa kwa kuwa hawajui mambo mengi sana.Hawajui pia kama kuna kesi kama kesi kama hii ilishawahi kuzungumzwa sehemu tofauti duniani na wale wanaosema kwamba HIV hasababishi AIDS walishanda mara zote mahakamani,watu wengi hawajui mambo haya.
Kuna kesi moja ilifanyika Ujerumani na watu wanaopinga HIV/AIDS hypothesis walishinda kirahisi sana.Nawakaribisha wale wanaotoa vitisho dhidi yangu na ninawaambia kwamba waache mikwara,kama wako tayari wafungue kesi mahakamani ili jamii ijue ukweli kupitia kesi hiyo.
Mahakamani nitashinda,tukirudi kwenye sayansi/nadharia pia nitashinda,tukirudi kwenye uhalisia ulivyo mtaani na mahospitalini pia nitashinda.Kinachonisikitisha mpaka sasa hakuna mtu anayenipinga kwa hoja zaidi ya kuleta siasa kwenye jambo la msingi kama hili.Watu wanazidi kufa kwa ARVs halafu wao wanatetea upuuzi huu.
Zaidi ya yote nakupa hongera kwa kuwa na juhudi ya kufuatilia mambo haya.
Wadau,
Nimeisoma kwa umakini mkubwa sana thread ya mdau mmoja aliyekata shauri na kuamua kwenda kupima HIV!
Kiukweli kabisa toka katika uvungu wa moyo wangu nampongeza sana na Mwenyezi Mungu amuokoe huyu ndugu! Lakini kati ya wachangiaji waliosimama kidedea kuchangia thread hii, mchangiaji mmoja nimemnukuu akisema, "hukujua kuwa kupata UKIMWI ni kazi ngumu sana.."
Na kwa bahati mbaya alipoombwa kutoa elimu na uzoefu wake na baadhi ya wadau, hakuonekana tena! Usemi huu umeibua tafakari na tafakuri nyingi katika halmashauri yangu ya kichwa, nikirejea na siku za mgongoni nikiwa darasani mwalimu pia aliwahi kusema maneno sawia na ya mchangiaji wa leo na toka ya hapo, swali hili limetoka katika tawala za kichwa changu kwamba, "Je, inawezekana mtu akalala (siyo kulala huku kwa kawaida, tafsida imezingatiwa) na mtu mwenye UKIMWI tena bila condom na asipate UKIMWI?".
Nisaidieni wadau.
Nawasilisha.
======
Nimefatilia maelezo mengi sana ya Bwana Deception.
Mi naomba kwa sasa tufunge vitabu,makala,majarida,maabara tuje katika uhalisia.
Yeye anapinga uwepo wa kirusi kiitwacho HIV ambacho kinasababisha UKIMWI.
NAMUOMBA YEYE BINFASI AJE AU TUKUTANE NA MIMI NIMU INJECT DAMU YA MGONJWA MWENYE UKIMWI kisha tupeane muda usiopungua Miezi sita kisha tuone HAKIKA YA JAMBO HILI KATIKA MWILI WAKE.
NAMBA ZANGU NI 0714 565 885
Nimefatilia maelezo mengi sana ya Bwana Deception.
Mi naomba kwa sasa tufunge vitabu,makala,majarida,maabara tuje katika uhalisia.
Yeye anapinga uwepo wa kirusi kiitwacho HIV ambacho kinasababisha UKIMWI.
NAMUOMBA YEYE BINFASI AJE AU TUKUTANE NA MIMI NIMU INJECT DAMU YA MGONJWA MWENYE UKIMWI kisha tupeane muda usiopungua Miezi sita kisha tuone HAKIKA YA JAMBO HILI KATIKA MWILI WAKE.
NAMBA ZANGU NI 0714 565 885
Tayari kuna mtu nimeshapanga naye kufanya hii kitu.Siwezi kumkubalia kila mtu kwa sababu ya security.Unaweza usinielewe,lakini kama ukijua ukweli mzima kuhusu nguvu zilizo nyuma ya biashara hii labda ndio utanielewa.
Huyu niliyepanga naye kwa sasa anatosha kuwapa wengine ushuhuda kama atakubali.Yeye ni doctor,nadhani na nategemea atakuwa shuhuda mzuri kwenu.Ukitaka kuamini ninayosema fuatilia uzi huu hapa page ya 10,reply number 185.
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/948478-v-v-u-na-upimaji-wake-coincidences-9.html