promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,707
- 931
Kwa ufupi sema A/C yake haisomeki, upeo siyasa QI ndogo kote shosti unazunguka,asikuchoshe sana wala usimchoshehabari za asubuhi wana mmu, ni mwaka umepita tangu nikutane na huyu kaka. naweza kusema ni wa kawaida sana, yan kimaisha,elimu na muonekano pia. nilikutana naye tukiwa tunasoma koz flan.alionesha nia ya kunitaka kimapenzi ila nilimkatalia kwa sababu binafsi. baada ya kumaliza kozi hakukata tamaa, aliendelea kuwa karibu na sasa tunaelekea kuwa wapenzi. ukaribu wetu umenifanya nigundue kuwa hatuendani kwa kiasi kikubwa, hana upeo wa vitu vingi, hatuendani hata kidogo. je nawezaje kuwa nae ktk hali kama hii?
mwambie huna nnachokitaka kwa mwanamme ili ajipange.....