Inawezekana kuwa good politician while huna historia yoyote ya uongozi tangu ngazi ya chini?

twende kazi

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,520
459
Salaam,wana jf.Kwa kweli hili swali linaniumiza kichwa sana unakuta mtu ana qualities zote za uongozi like influence,organizing,kujenga hoja,mvuto na anajiamini tatizo pengine amekosa tu uthubutu.Anajikuta hagombei na hata akiombwa agombee hafanyi hivyo sasa inafikia hatua anataka kugombea pengine baadae sana.Je historia itamhukumu?Mana utasikia wengine hajawahi kuwa hata monitor atawezaje kutuongoza?Naombeni mawazo yenu wana jf..!
 
Salaam,wana jf.Kwa kweli hili swali linaniumiza kichwa sana unakuta mtu ana qualities zote za uongozi like influence,organizing,kujenga hoja,mvuto na anajiamini tatizo pengine amekosa tu uthubutu.Anajikuta hagombei na hata akiombwa agombee hafanyi hivyo sasa inafikia hatua anataka kugombea pengine baadae sana.Je historia itamhukumu?Mana utasikia wengine hajawahi kuwa hata monitor atawezaje kutuongoza?Naombeni mawazo yenu wana jf..!
Inawezekana. Ktk biblia yupo King David. Sijui kwa waislam. Wewe kama una kipaji cha kuongoza it does not matter, unaweza kuongoza hata kama hujawahi kuwa kiongozi (public). Na ktk misingi tu ya kawaida kila mtu huwa ni kiongozi wa kama yeye binafsi, familia au kikundi fulani (mfano King David alikuwa kiongozi wa wanyama aliokuwa anawachunga na aliweza kusimamia vizuri wanyama wakali (mfano Mafisadi wa CCM) kama simba wasiwashambulie wanyama waliokuwa chini yake.
 
Mkuu ahs sana nimekupata,ishu inakuja je jamii au pengine chama cha siasa kinaweza kukuamini?Mana hayo mambo utayaona sana wakati wa kampeni au kura za maoni.Wanachagua watu wenye historia kweli ya uongozi lakini wengi wao ni dhaifu.
 
Ni kweli kaka,bt ishu inakuja je jamii au chama cha siasa kinaweza kukuamini?Nimeshuhudia ktk chaguzi nyingi hiyo inatumika kama propaganda matokeo yake wanachaguliwa viongozi kweli wenye historia lakini ni dhaifu na hawana weledi wowote.
 
Back
Top Bottom