Inawezekana kupona Hernia bila upasua - Case study China

Kama kuna mtu anajua dawa ya Hiatus Hernia, msaada maana nimeambiwa ni operation, na kama kuna mtu alishawahi fanyiwa ni vipi alipata hiyo huduma na nitapata wapi msaada?
 
jameni nimeambiwa nina hiatus hernia sasa naitaji nifanye operation vp kama kuna mtu ashafanyiwa au anajua niende hospto gani
 
Unajua hapa nmeona mnazungumza hernia ya aina moja hiatus hernia yenyewe ni ile ya tumbo kwenda kifuani
 
Mtoto wangu alizaliwa mwaka 2008 mwezi Nov akiwa na tatizo ambalo madaktari walilieleza kuwa ni hernia. Tatizo hili linatibiwa kwa upasuaji ila inabidi mtoto akue kidogo kama miaka 3 -5 ndo afanyiwe upasuaji huo.
Nimeshangaa sana baada ya kumpeleka hospital iliyoko jimbo la Shaanxi kwenye mji wa Xi'an ameweza kutibiwa bila upasuaji wowote. Alipewa dawa ya kunywa na kufunga nje (moja kwenye kitovu na nyingine kwenye eneo la karibu na sehemu yake ya kiume [hii ilifungwa na mkanda maalum]). Ninapenda kushukuru kuwa mtoto amepona baada ya siku 20 ya kutumia dawa.
Teknolojia hii ni bei nafuu sana na aina maumivu wala usumbufu. Naomba watanzania hasa wakemia tuwasiliane ili mfanye uchunguzi wa dawa hizi kujua kilichomo ili tuzitengeneze Tanzania kusaidia kizazi kijacho. Nilichukua dawa hizo in excess ili tuzichunguze
Hebu rudi utuambie kama ile ngiri ya dogo haijarudia!!
 
Dakatari bingwa wa mambo ya hernia na magonjwa mengine ya mfumo ya tumbo. Dr. Manish Joshi wa India. Ana website yake binafsi ameelezea vizuri haya matatizo. www.drmanishjoshi.com. Hosp anayofanya kazi (India) matibabu ya hernia ni almost $2500-3000 ambayo huhusisha operation, dawa, gharama ya kukaa wodini, chakula cha mgonjwa na ndugu n.k. Kwa kifupi ukilipa ni kukaa tu unapokea huduma zote. Surgery ni keyhole (Laparoscopic surgery) na sio open surgery.
 
Back
Top Bottom