SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Najua JF ni kisima cha kumbukumbu,
Natafuta tarehe ambayo Juliu Nyerere aliachia ngazi unyekekiti wa CCM. Pia na tarehe ambayo NEC-CCM ilikaa huko Zanzibar na kulifuta Azimio la Arusha.
Nataka kujua kama walitumia miaka michache tangu Nyerere aache uenyekiti, basi nitaamini mikakati ya kulifuta Azimio hilo huenda ilianza kwa siri angali Mwenyekiti.
Nasubiri jibu.
Natafuta tarehe ambayo Juliu Nyerere aliachia ngazi unyekekiti wa CCM. Pia na tarehe ambayo NEC-CCM ilikaa huko Zanzibar na kulifuta Azimio la Arusha.
Nataka kujua kama walitumia miaka michache tangu Nyerere aache uenyekiti, basi nitaamini mikakati ya kulifuta Azimio hilo huenda ilianza kwa siri angali Mwenyekiti.
Nasubiri jibu.