Jamani nahitaji kufanya mtihani wa kidato cha sita mwakani mwezi wa pili.Je bado sijachelewa?Hakuna namna ninayoweza kutumia ili niweze kufanya mtihani mwakani,?Nilikwama kupata fedha ya malipo ya mtihani kwa wakati.
Nawasilisha.
jaribu luwasiliana na necta,kama upo dar nenda in person uongee nao!ila wapo very strict!ila kama una hela nakushaur usome diploma hayo mambo ya six achana nayo!
jaribu luwasiliana na necta,kama upo dar nenda in person uongee nao!ila wapo very strict!ila kama una hela nakushaur usome diploma hayo mambo ya six achana nayo!
Mimi pia nilitaka dogo wangu apige paper mwakani nilienda baraza nikaambiwa muda umeisha mpaka baada ya mwakani, dont get your hopes up muda umepita mkuu,usipoteze hela yako kusaka alternatives, utatapeliwa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.