Inawezekana ikawa kweli?

Au wakutane wao kwa wao WATASUBUTU! thubutu!!!! Wanaogopana vibaya sana!

Chrispin,

Nikaribishe mkuu, nitakuja ila uhakikishe kuna Serengeti za kutosha!!! Hapa sina maana za kuninunulia wewe bali za kununua wote!!!

Tiba
 
Cheki TIBA kaka yangu mwenzio siasa ilivyonichosha unanishauri niendelee nayo?

6451d1257338742-inawezekana-ikawa-kweli-choka-mbaya.jpg

Mpe pole inaelekea alicheza vibaya karata zake!!!!

Tiba
 
Fanya jitihada uiweke hapa huyo Tibaigana ajue kwanini siHaSa za bongo hazina deal.

Mkuu Burn,

Tunapashwa tushirikiane tuzifanye siasa za Tanzania kuwa deal!!! na kwa manufaa ya Watanzania wote!!!

Tiba
 
Huyo mtoa mada yuko makini kweli? Kuna majukwaa mangapi hadi mafisadi wailenge jf? Inahuzunisha kuwa na mawazo kama hayo

Mkuu Mziwanda,

Inaelekea huijui vizuri historia ya JF na mchango wake katika kufichua maovu katika nchi hii. Uliza uambiwe kama hujui!!

Tiba
 
atoe solution sio kulalamika lalamika, hata hao kwenye sihasa wanalalamika hawatoi solution ya matatizo kwa mfano tu india walikosa mkate siku 1 watu wote wakalala njiani je wewe na wenzio mnaoongea point /sihasa je mmefanya nini?

Nguli,

There you are!!! You're now talking!!! Hebu tuliongelee hilo la kipi kifanyike ili kuitoa nchi yetu kutoka mikononi mwa mafisadi kuliko kukimbilia kuongelea umbea na hadithi za kutunga kwenye mapenzi!!! Najua nimechokoza watu kwa kauli hiyo!!!
 
Nimefuatilia kwa karibu posting zinazofanyika kwa siku za hivi karibuni nyingi na kugundua kwamba nyingi zinahusu mahusiano na mambo ya mapenzi ukilinganisha zile zinazohusu mijadala juu ya mustakabali wa nchi kuhusu rushwa, matumizi mabaya ya madaraka, uhujumu uchumi, EPA na mafisadi wake na siasa za nchi yetu kwa ujumla.

Nikiangalia kwa karibu kulikuwa na wimbi la watu kujiunga na JF some 6 months ago ambapo mijadala juu ya ufisadi ilikuwa imepamba moto na ninajikuta nalazimika kufikiria kwamba kulikuwa na msukumo fulani kutoka kwa mafisadi kuingiza "watu wao" kwa wingi hapa JF na kupost issues za mahusiano ili kupindisha attention ya watu kutoka kwenye kupigia kelele ufisadi na badala yake tuzame kwenye kujadili mambo yanayohusu mahusiano na mapenzi.

Ikibidi Mods watupe data za aina za posting kwa siku za karibuni (at least for the past 6 months) ili tupime ukweli wa fikira zangu.

Mnalionaje wazo hili, je lina ukweli wowote?

Your hypothesis is not logical. Hata kama members wanao changia mambo ya mapenzi wameongezeka haimaanishi kuwa kuna watu wamewekwa kudivert attention. Ukweli ni kwamba kitu kikitokea mwanzoni kuna ile hali ya kuichangamkia. Miezi michache iliyo pita kuli kuwa na new topics kibao kuhusu ufisadi. Sasa hivi habari za ufisadi ni zile zile tu kwa hiyo kuna kuwa na lack of interest. Jamiiforums siyo siasaforums bwana wacha watu watanue wigo.
 
Your hypothesis is not logical. Hata kama members wanao changia mambo ya mapenzi wameongezeka haimaanishi kuwa kuna watu wamewekwa kudivert attention. Ukweli ni kwamba kitu kikitokea mwanzoni kuna ile hali ya kuichangamkia. Miezi michache iliyo pita kuli kuwa na new topics kibao kuhusu ufisadi. Sasa hivi habari za ufisadi ni zile zile tu kwa hiyo kuna kuwa na lack of interest. Jamiiforums siyo siasaforums bwana wacha watu watanue wigo.

Mkuu MwanaFalsafa,

Nakushukru kwa analysis yako nzuri tu. Nafikiri hypothesis yangu ni logical but it might not be correct.

Tiba
 
kwenda kufoka kufoka kule kwenye siasa ni sawa na kukata matawi tu, mzizi wa ufisadi na maovu mengineyo upo kwenye jamii iliyokosa mwelekeo, familia nyingi zina mahusiano mabaya ambayo zinababisha mahusiano mabovu yanayosababisha ndoa mbovumbovu zinazosababisha familia na watoto wabinafsi wasiojali maadili wanapokuwa watu wazima na ndio maana tuna jamii isiyo na maadili...and the circle goes on and on and on

mawaidha tunayopeana kwenye mahusiano na mapenzi yanasaidia sana kujenga jamii yenye maadili...tunachimbua mzizi na sio kukazana kukata matawi tu

karibuni sana wana jamii wote katika kijiwe cha mahusiano na mapenzi...
 
Nguli,

kukimbilia kuongelea umbea na hadithi za kutunga kwenye mapenzi!!! Najua nimechokoza watu kwa kauli hiyo!!!

Kumbe unajijua ni mchokozi da! ndio maana na wenzangu wameondoka.
Siwezi kujihusisha na siasa hata siku 1. Period.
 
tuendeleeni kushabikia si hasa lakini tujue si hasa hazitushangilii.
Tuendelee kupanua midomo yetu kama huyu bwana pichani ila tuchunge wadudu wasiingie ndani. Hakika uchaguzi umewadia.
6452d1257339739-inawezekana-ikawa-kweli-picture15.jpg


read my signature you tiba asilia
 
hizi ndo zetu mpwa!
ni ishu ambazo hazina tension wala haziiitaji brainstorming!ni swala la kupanda daladala,unabeba ka twenty kako,na kabahasha umeweka siivi ndani unakutana na wapwa mnabadilishana siivi MNALEWA!mnaagiza makange mnakula jioni unavizia tena kadala dala huyooooooooooooooooooooooooo!mpaka tandika:D

uzuri wake hamna anae kufuatilia kwasababu:
ROSTAMU HAUSIKI
PATELI HAUSIKI
MANJI HAUSIKI
JEIKEI HAUSIKI
AIPITIELO HAIUSIKI!

unaona bwana!:D
Lol, nimecheka saaaaaaaaaaana. yani kuna ukweli humu 120%
 
Back
Top Bottom