Inawezekana ikawa kweli?

Mkuu Kaizer,

Asante kwa mchango wako lakini nisaidie kunielewesha kiwango changu ni kipi mkuu, nisaidie hapa!!! Inawezekana sijijui sawasawa!!!!

okay, mi wala sitachoka, nilimaanisha hii:

Tiba
user_online.gif

Tiba has no status.
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png

green.png

green_right.png





Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 227
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



Kwa hiyo mkuu, wewe sio member tu ni premium...nikimaanisha umeshachangia hata JF, (japo nimenote kuwa kitufe cha senks hujawahi kukitumia) kwa kujua nia na madhumuni yake, ikiwemo uhuru wa maoni kwa mtu kuchangia pale anapoona panamfaa zaidi. Haikutegemewa uje na thread kama hii mkuu,




Hizo data ulizotoa ni kwa kipindi kipi mkuu? Tangia JF ianzishwe? au kuanzia tarehe ngapi mpaka lini?

Tiba
Mkuu kwa kukusaidia tu ni kwamba ni tangu JF imeanzishwa kwa hiyo ni reliable na valid. Lakini unaponiuliza hili swali mkuu hebu kwanza na wewe reciprocate kwa kutupa data za jinsi jukwaa la mahusiano lilivyo 'overtake' mambo ya siasa.

respect
 
Umeshafanya mahesabu ukajua ni watu wangapi walijiunga kipindi hicho na wangapi wanajiunga sasa?
Wewe ni Moderator?
Mi nionavyo majukwaa yote yanaenda sambamba, na kama kuna watu waliolipwa waje humu ndani , basi wameshindwa kazi waliyoapa kuifanya!
 
Tiba, mapenzi ni sehemu ya maisha ambayo nayo inahitaji tiba ili maisha yaweze kuwa sawa, kama wewe haupendezwi na jukwaa hilo hakuna tabu waache wanaohitaji kufahamishwa na kufahamisha waendelee sio kutoa hypothesis zisizo na reseach
 
we tibakyenda wewe, kwani lazima wote tuongee siasa? wengine hatutaki stress bado tu wadogo kufa na pressure, nchi yenyewe ishauzwa hii, kwa nini sasa tuendelee kujipa machungu? sisi na mahusiano na mapenzi tu maana ndo maisha yetu tunayoyaishi kila siku, so kama unapenda siasa nenda kwenye siasa, wanaopenda mapenzi waache kwa raha zao maana naona unawapa mods kibarua kisichokuwa na maana wakati yeye mwenyewe ndo alipanga jukwaa la siasa, elimu, mahusiano, habari mchanganyiko etc. so have peace bro.

Mkuu,

Nakushuru kwa ushauri. Lakini je kuna ukweli kwamba masuala ya mapenzi kwa sasa yako juu kuliko issues zinazogusa mustakabali wa taifa hili?

Tiba
 
Umeshafanya mahesabu ukajua ni watu wangapi walijiunga kipindi hicho na wangapi wanajiunga sasa?
Wewe ni Moderator?
Mi nionavyo majukwaa yote yanaenda sambamba, na kama kuna watu waliolipwa waje humu ndani , basi wameshindwa kazi waliyoapa kuifanya!

Mkuu,

Nashukuru kwa mchango wako. Ndo maana nimeomba mods atusaidie kutupa data (lakini si lazima) ili niweze kupima ufinyu wa fikra zangu.

Ukitaka kujua kama kuna watu wamelipwa au la angalia jinsi wanavyojaribu ku-neutralize hoja yoyote inayogusa maslahi ya mafisadi. Utashangaa!!

Tiba.
 
Tiba, mapenzi ni sehemu ya maisha ambayo nayo inahitaji tiba ili maisha yaweze kuwa sawa, kama wewe haupendezwi na jukwaa hilo hakuna tabu waache wanaohitaji kufahamishwa na kufahamisha waendelee sio kutoa hypothesis zisizo na reseach

Mkuu,

Hypothesis ni part and parcel ya research. Nimeazisha hoja, ni juu yako kuamua kama ina ukweli au la. Unaweza kutoa jibu rahisi kwamba fikira zangu sio sahihi kwa mtizamo wako, na huo utabaki kuwa mtizamo wako.

Tiba
 
Mkuu,

Nakushukuru kwa mchango wako lakini nasikitika umekwenda mbali kwa kutaka JF watoe tamko. Mimi nimeomba kama wanaweza kutoa data kusupport au kukanusha mawazo yangu. Very simple.

Najua post kama hii inawagusa wengi hapa na hasa wale waliojiunga kwa nia niliyoifikiria mimi (sijasema na wewe ni mmoja wapo lakini!).

Hizi ni fikira zangu tu sio lazima ziwe sahihi.

Tiba

Kwenye red na blue huoni kama unajichanganya?

Bolded statement- Mimi ni kati ya wachangiaji kwenye mapenzi.
 
okay, mi wala sitachoka, nilimaanisha hii:

Tiba
user_online.gif

Tiba has no status.
JF Premium Member

red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png


green.png

green_right.png





Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 227
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



Kwa hiyo mkuu, wewe sio member tu ni premium...nikimaanisha umeshachangia hata JF, (japo nimenote kuwa kitufe cha senks hujawahi kukitumia) kwa kujua nia na madhumuni yake, ikiwemo uhuru wa maoni kwa mtu kuchangia pale anapoona panamfaa zaidi. Haikutegemewa uje na thread kama hii mkuu,




Mkuu kwa kukusaidia tu ni kwamba ni tangu JF imeanzishwa kwa hiyo ni reliable na valid. Lakini unaponiuliza hili swali mkuu hebu kwanza na wewe reciprocate kwa kutupa data za jinsi jukwaa la mahusiano lilivyo 'overtake' mambo ya siasa.

respect

Mkuu,

1. Najua hauko peke yako wapo wengi ambayo hawawezi kuona umuhimu wa hii observation yangu. Lakini kama kuna ukweli, utabaki pale pale.

2. Sikujua kwamba kwa kuwa niliwahi kuchangia JF basi sipashwi kusema kile ninachokifiria kuwa ni sahihi.

Tiba.
 
Mkuu,

Nakushuru kwa ushauri. Lakini je kuna ukweli kwamba masuala ya mapenzi kwa sasa yako juu kuliko issues zinazogusa mustakabali wa taifa hili?

Tiba

Mustakabali wa Taifa wewe tibakyenda unaujua lakini? nchi yenyewe haina mwelekeo hii, wewe unakaa kuumiza kichwa eti mustakabali, mimi mustakabali wangu ni kuhakikisha familia yangu inaprosper in every way, na kule kwenye mahusiano ndo panapostawisha hili, so mambo ya mustakabali wa taifa, sijui kilimo kwanza, mfuko raki nimewaachia thi thi em.
 
AAAH hivi huyu jamaa vip waliotengeneza majukwaa tofauti tofauti anadhani hawakuwa na akili ya kufikilia
wengine siasa hatuijui sana sana tutakuwa tunaumiza vichwa vyetu bure
 
Mustakabali wa Taifa wewe tibakyenda unaujua lakini? nchi yenyewe haina mwelekeo hii, wewe unakaa kuumiza kichwa eti mustakabali, mimi mustakabali wangu ni kuhakikisha familia yangu inaprosper in every way, na kule kwenye mahusiano ndo panapostawisha hili, so mambo ya mustakabali wa taifa, sijui kilimo kwanza, mfuko raki nimewaachia thi thi em.

Mkuu,

Familia yako inaprosper vipi katika mazingira tuliyomo? Hapa naona unajidanganya tu. Hatupashwi kuwa hapa tulipo kama kweli tungekujitahidi kuwa kitu kimoja na kupambana na hawa mafisadi Bwana!!!!! Unless na wewe uniambie ni mmoja wa hawa MAFISADI kwani wao ni kweli familia zao ziko safi kama walivyo wao.

Tiba
 
Mkuu, naomba uthibitishe upotofu wa fikra zangu.

Tiba

Fikra yako ni potofu pale unaposema kunaweza kuwa na mkono wa mafisadi kustawisha jukwaa la mahusiano ili watu wawe distracted, c'mon Tiba, what makes you think sisi tunaochangia kule tumetumwa na mafisadi, afta all nini kinakufanya uanze tu kutoa accusations bila ushahidi halafu eti unataka sisi ndo tukupe data au kukwambia kama kweli au si kweli?
 
Mkuu,

Familia yako inaprosper vipi katika mazingira tuliyomo? Hapa naona unajidanganya tu. Hatupashwi kuwa hapa tulipo kama kweli tungekujitahidi kuwa kitu kimoja na kupambana na hawa mafisadi Bwana!!!!! Unless na wewe uniambie ni mmoja wa hawa MAFISADI kwani wao ni kweli familia zao ziko safi kama walivyo wao.

Tiba
sasa wewe kama hujidanganyi, nani kakwambia ukikaa kwenye computer yako rthe whole day bila kuwajibika popote ulipo ndo unapigana na ufisadi? hao pccb wenyewe mafisadi itakuwa mie?
 
Mkuu,

1. Najua hauko peke yako wapo wengi ambayo hawawezi kuona umuhimu wa hii observation yangu. Lakini kama kuna ukweli, utabaki pale pale.

2. Sikujua kwamba kwa kuwa niliwahi kuchangia JF basi sipashwi kusema kile ninachokifiria kuwa ni sahihi.

Tiba.

we sema tu bwana kila mtu ana haki ya kusikilizwa
ila mada yako umekosea jinsi ya kuiwasilisaha
natanguliza shukrani
 
Kama utatuzi wa matatizo wa hili taifa ungeendana na uwezo wa baadhi ya wasomi na wasio wasomi wa kitanzania wa kulalamika lalamika hili taifa lingekuwa kama mataifa tajiri ya dunia ya kwanza-NGULI 2009
 
Tiba
1. Mimi ninaiona concern yako ni kweli umechoshwa na mafisadi na ni kweli wamewachosha wengi tu lakini inasaidia nini kama tutabaki kupigana nao vita kwa kutumia silaha ya keyboard wakati ukifika wakati wa kupiga kura hatuendi (na hata tukienda hatuwashindi) unless utupe ushahidi wa fisadi aliyeangushwa kutokana na hoja za JF kupitia mtaa wake maarufu wa Siasa.

2. Mtu kupendelea jukwaa flani hakumaanishi kuwa haijali nchi yake! Wote tunajenga nchi wewe ukijenga political side of it, mimi najenga social part kwani hujui kuwa social aspect ya mwanadamu ndiyo inayomfanya akaparticipate vema politically (kama ana interest) and economically?

3. Bado siamini kama mambo ya mapenzi na mahusiano yanaweza kumdistract mpenzi wa siasa akaacha kule akaja huku moja kwa moja! Labda kama unamaanisha kwa wale wageni ambao unadhani wangewezakuiunga kipindi hiki kudiscuss mambo ya EPA na badala yake wamejiunga kudiscuss mapenzi! ambao sidhani kama tunawezakuwajua



So kujibu hoja yako ni kuwa sidhani kama inawezekana ikawa kweli kwa sababu tu hoja yako ina too many variables ambazo they are not explaining direct link kati ya wingi wa hoja za mapenzi na uchache wa hoja za siasa! Too many confronting variables therefore it is difficulty for us to derive a linear causal relationship on the issue.
 
Back
Top Bottom