Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Kwamba wanawake wengi ambao wameolewa wanapoamua kutoka nje, hutoka na waume za watu, na sio wanaume ambao hawajaoa.
Haifahamiki sana ni kwa nini wanawake walioolewa hutoka nje na wanaume waliooa, lakini tafiti nyingi hutaja sababu kadhaa ambazo zinaonekana kukubalika zaidi.
Moja ya sababu inayotajwa ni kwamba wanawake huamini kwamba wanaume waliooa hawatawasumbua kwa sababu na wao wana majukumu kwenye familia zao. Wanaamini pia kwamba wanaume waliooa watakuwa waangalifu sana kwenye uhusiano huo wa wizi kwa sababu ya kuogopa kunaswa.
Ingawa hawajui kwamba , sio lazima, lakini wanawake wengi huamini kwamba wanaume waliooa huwa hawarukiruki sana kutafuta wanawake kila kona. Kwa hali hiyo, wanaaamini hawatakereka, lakini pia hawatapata matatizo ya maradhi ya zinaa au misukosukoya kukimbizana na mahawara wengine wa wanaume hao.
Haifahamiki sana ni kwa nini wanawake walioolewa hutoka nje na wanaume waliooa, lakini tafiti nyingi hutaja sababu kadhaa ambazo zinaonekana kukubalika zaidi.
Moja ya sababu inayotajwa ni kwamba wanawake huamini kwamba wanaume waliooa hawatawasumbua kwa sababu na wao wana majukumu kwenye familia zao. Wanaamini pia kwamba wanaume waliooa watakuwa waangalifu sana kwenye uhusiano huo wa wizi kwa sababu ya kuogopa kunaswa.
Ingawa hawajui kwamba , sio lazima, lakini wanawake wengi huamini kwamba wanaume waliooa huwa hawarukiruki sana kutafuta wanawake kila kona. Kwa hali hiyo, wanaaamini hawatakereka, lakini pia hawatapata matatizo ya maradhi ya zinaa au misukosukoya kukimbizana na mahawara wengine wa wanaume hao.