Kama anatoka nae, ukijaribu akasema endelea ilimradi ucmtafune hy ex wako utafanyaje? Chukua simu yake mtext jamaa kimahaba uone reply zake, sms tano tu uutajua kinachoendeleaNgoja nijaribu
Ukimegewa demu wako na wewe tafuta mnyonge ummegee (MwanaFA)..
Kiukweli huna mpenzi hapo..Yaan anatoka na x wewe upo?
Zinduka aiseee...
Na we usitufanye wote watoto hapa,yule bikra ndo huyo mwenye boy wake au?si wewe ndo uliuliza hapa bikra ikitoka kama ni lazima itoke na damu!au?sasa leo vipi tena?
MtotoSix;44761anapata nafasi ya "kusafisha bunduki yake"[/QUOTE said:uhahahahahah..kh!Nimecheka Mie!
mdogo wangu ukiona manyoya ujue.................................!!!utamalizia mwenyewe