Inawezekana akawa anaugonjwa wa psychologia?

gbrother

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
408
51
Ni mdada ambaye ana boyfriend wake, lakini anauza hivi anakasolo gani kama mtoto wa kike, maana hajawaiwa kutongozwa na mwanaume mwingine zaidi ya huyu bf wake.
 
hana kasoro yoyote ile.si ana boyfriend,sasa atongozwe ili iweje na wakati tayari ana mtu?kama angekuwa single kama hatongozwi,ingebidi atongoze yeye.siku hizi hata wanawake wanatongoza.mambo ya kusubiri kutongozwa hakuna tena,kama huwezi kumwaga sera,unatongoza kwa ishara tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom