Tiper-kiwanda cha kusafisha mafuta Ghafi(crude oil) na kupata diezel,petroli,mafuta taa,mafuta ya viwanda(fuel oil,industrial diezel) na gesi ya kupikia kilichopo kigamboni ambacho kilikuwa kinaendeshwa kwa ubia serikali/Agip hakijafanya kazi nadhani zaidi ya miaka 30 na tathmini iliofanywa miaka ya 90 imeonesha hakiwezi tena kufanya kazi kwakuwa kilitelekezwa na asilimia kubwa ya mitambo imeharibika na kuliwa na kutu.
Ukisema Tiper bila maelezo vijana wengi wa umri wa awamu za Mkapa/Kikwete hawawezi kukuelewa au kudhani unaongelea magari ya kubeba mchanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.