Mbona umeweka picha zinazoibua mashaka kwa wateja? unakuwa kama hujiaminiamini maana gari lenyewe unaoneka kuna sehemu unazifichaficha wateja wasizione. Weka full picha upande zote za gari, yaani kulia kushoto, nyuma, mbele ikiwezekana na injini ionekane. Hata wateja tukiamua kuku PM tuwe tayari sura ya gari tunaijua vizuri.