Inauma: 'Alisema tusimpige picha'... Angesema mvue nguo!!

Alafu kesho yake wanaenda kumuwinda pale Tanesco, alipokuwa mbele yenu mkashindwa..shame shame shame..hawa ndio wasaliti wakubwa..wanajiita mhimili wa nne lakini mafedhuli na wala rushwa tu.. RA aliwakatia MSHIKO wasilete za kuleta hapa.
Kwanza walifanya "kukatazwa kumpiga picha" kuwa ni news
Pili, wakampiga picha akikagua majenereta ya Rostam, wakafanya ile picha ndo news!!

Nina problem na hawa Daily nation (Mwananchi na Citizen) kuna kitu huwa nashindwa kukielewa vizuri.
 
Uhuru wa habari ni upande mmoja tu wa waandishi? Mara ngapi watoa habari wanakataa kupigwa picha? Au kwa kuwa huyu ni Mwarabu? DOWANS? Acheni kuendekeza xenophobic sentiments. Kwani ujumbe haukufika?
 
Waberoya umeniwahi. Kwa siku mbili mfululizo nilikuwanimesusa kusoma magazeti kwa sababu ya uhuni waliotufanyia. Hili jitu lipoje mpaka wahariri wazima tenatunao waamini mkashindwa kupiga picha? Waandishi wa habari tu wa kawaida wameweza kupiga picha za huyo fisadi hapo Ubungo. Afadhali mnemwalika Kubenea aneweza kupia hizo picha. Nyie mnaosema hoja haina mshiko nina mashaka kama sio wahariri wenyewe
 
Waberoya umeniwahi. Kwa siku mbili mfululizo nilikuwanimesusa kusoma magazeti kwa sababu ya uhuni waliotufanyia. Hili jitu lipoje mpaka wahariri wazima tenatunao waamini mkashindwa kupiga picha? Waandishi wa habari tu wa kawaida wameweza kupiga picha za huyo fisadi hapo Ubungo. Afadhali mnemwalika Kubenea aneweza kupia hizo picha. Nyie mnaosema hoja haina mshiko nina mashaka kama sio wahariri wenyewe
"Ali Hadaiwi" hakuwa huru kukataa kupigwa picha? Au mmewazoea wanasiasa wenu wanaokwenda misibani, mawodini na kamera?
 
Weberoya,

Hii mara nyingi inanifanya nishindwe kununua magazeti - It makes every sensible news paper reader kujiuliza hii habari ni kweli au ya kupikwa kabla ya kununua gazeti! SAD!

Waandishi wa Habari wanauza sana utu na fani yao!
 
Hoja nzuri ila imeletwa na wrong person ambaye credibility yake inayoyoma. Na ungeendelea tu kidogo ungeishia kusema hao waandishi wa habari ni CDM! Poor Waberoya!

Duh..naona sasa upenzi wa chama umeshaanza kukupunguzia fikra kichwani.
 
Kwa hili la huyu Mwarabu wa Dowans, mi mwenzenu jamani nimejikuta nam-miss saaana marehemu Mwl Nyerere!

Hadi machozi yananitoka kwa kumkumbuka.........
 
Naombwa kujuzwa kama sikosei Tz inasheria ya kukataza kumpiga mtu picha nje ya matakwa yake ni sawa ama si sawa?
 
Weberoya,

Hii mara nyingi inanifanya nishindwe kununua magazeti - It makes every sensible news paper reader kujiuliza hii habari ni kweli au ya kupikwa kabla ya kununua gazeti! SAD!

Waandishi wa Habari wanauza sana utu na fani yao!
Kwa kuikosa picha ya "Ali Hadaiwi" gazetini? Tuitafute tuiweke kwenye noti mpya ya elfu kumi kama ilikuwa muhimu kiasi hicho!
 
Naombwa kujuzwa kama sikosei Tz inasheria ya kukataza kumpiga mtu picha nje ya matakwa yake ni sawa ama si sawa?

Sijui kama kuna sheria hiyo, tatizo ni kuwa kama alikataa kupigwa picha haikutakiwa kuwa 'habari' na kulalamika, waaandishi wengi wamelalamikia hilo swala hili hali walikuwepo eneo la tukio!

Kwa kuikosa picha ya "Ali Hadaiwi" gazetini? Tuitafute tuiweke kwenye noti mpya ya elfu kumi kama ilikuwa muhimu kiasi hicho!

Kuwa muhimu au la si tatizo, tatizo ni kuwa waandishi walilalamika sana hicho kitendo hili hali walikuwemo humo!! wangeandika kama moja tu ya tukio it was ok! wao walilikuza saana na ile dhalilishwa yao ikawa kununuliwa kwa magazeti!
 
Have you ever heard of "photo talk a thousand words"

Hajui hilo!

fear-5.JPG


good-wife-2.jpg
 
hivi wakuu alikuwa anaongea lugha gani kiinglish , kiswahili, au kisukuma? enyi waandashi mliongia au nayo alisema msiseme?
 
Hii Hoja ni ya msingi sana na imenikuna mno. Tena kwa kurudia tuhawa hawakua waandishi wa habari wa kawaida, ni wahariri, yaani mabosi wa waandishi wa habari kwa vyeo, mishahara na hate elimu. Hawa ndio vichwa vya media ya Tanzania. Watu wa hovyo kuliko kitu chochote na ndio wanaotaka kutambulika kama muhimili wa 4, hawa je wangeambiwa bong'oa wangekataaje? Eti ni ethics zetu kwa anayesema this is off the records, wanadhania kwa kuwa hatukai press rooms ni wajinga kama wao. Nasikia kama hiiyo haitoshi leo walikua wanarembua kwenda kuonana nao hao watu tena baada ya kuwatengenezea jukaa la wahariri, the top most media platform in Tz waongee nao. Halafu yalivyo mabwege, yote yakampa front page, at zero costs, yaani wamempa the best media coverage kwa hela zao wenyewe. Hawa ni vichwa vya mwendawazimu yaani wameshirikiane nae kuibiwa kampuni zao, kwa nini basi wasingekazania alipie hiyo habari kama tangazo, walau kwa kiwango cha chini kabisa wangeweza kupata 4m kama zile walizopewa za kuweka blanket ya CCM wakati wa uchaguzi. Akili ni nywele na hizo ndio zao, kwa sasa wote wanagombania kuonekana wako karibu na Fisadi RA, ndio kipimo chao cha ubora wa kazi. Sasa kesho na keshokutwa wataweza kudai picha toka kwa reporters wao? hawa ni kituko cha mwaka ndio hawa waliolalamika waandishi wakenya walivyowaita ma bootlicker, hawa, they are worse than ma bootlciker, they are actually 'suckers' nampongeza sana mchora katuni huyu na watangazaji wa vyombo vyote vya electronic walioivalia njuga leo asubuhi hichi kituko cha ma boss wao, I can almost see their names on those naked people, they are naked!
 
hivi wakuu alikuwa anaongea lugha gani kiinglish , kiswahili, au kisukuma? enyi waandashi mliongia au nayo alisema msiseme?

You are reminding me of something! hamna mtirirko wa habari alichosema huyu jamaa from A to Z!

shorthand si rahisi kumbuka hawakuwa na zana wala vinasa sauti, jamaa aliwapa mtihani kweli!
 
Tena inawezekana walidharirishwa na kusachiwa kama vile wanataka kupaa.

Baada ya tukio hili nimeanza kujiuliza waandishi wa UWAZI,IJUMAAA na hawa wa haya magazeti tunayotegemea nani mwenye akili zaidi

jibu ijumaa uwazi wanaongoza wengine wengine wanafuata



Waberoya you have a point na nakuunga mkono, waandishi wametia aibu sana, huwa nashangaa sometimes kuona hata picha za watu mahakamani wasiotaka kupigwa picha wanafunikia nyuso zao but picha wanapigwa ilikuwaje kwa huyu wakakosa mbinu??? Hata magazeti ya udaku yanawashinda kwakweli.
 
You are reminding me of something! hamna mtirirko wa habari alichosema huyu jamaa from A to Z!

shorthand si rahisi kumbuka hawakuwa na zana wala vinasa sauti, jamaa aliwapa mtihani kweli!
unajua kwa staili ya uandishi wa kibongo swala la lugha aliyokuwa akiitumia lazima ingeandikwa lakini sioni popote hii inanifanya niamini kama mtu mmoja alivyooandika ni msukuma wa ukenyenge shinyanga inawezekana alikua anaswaga kiswahili tena cha mitaani 'poa poa'
 
unajua kwa staili ya uandishi wa kibongo swala la lugha aliyokuwa akiitumia lazima ingeandikwa lakini sioni popote hii inanifanya niamini kama mtu mmoja alivyooandika ni msukuma wa ukenyenge shinyanga inawezekana alikua anaswaga kiswahili tena cha mitaani 'poa poa'
You are very right!!!
 
Unless kuna 'order' ilitoka juu kuwa ni marufuku kupiga picha na pia mwiko kusema tumekatazwa na sirikali....otherwise sidhani kama waandishi wa habari wetu wako low kiasi hiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom