Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
Habari zenu wakuu hope wote mko na afya njema mkiwa na matumaini ya kufikia mwaka 2012 , kwa kipindi kidogo nilichopo humu jamiiforums kwenye kila post nigundua idadi kubwa ya watizamaji na wachunguliaji thread ni wageni(guests) basi ni ombi langu kama mdau karibieni kwani kujiunga ni bure ili tuweze kuikoa hii nchi yetu inayolekea kusikoeleweka
kwa pamoja tunaweza nawatakia heri ya mwaka mpya 2012 wenyewe neema na baraka
kwa pamoja tunaweza nawatakia heri ya mwaka mpya 2012 wenyewe neema na baraka