Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
RA ni mfanyabishara kama wafanyabiashara wote duniani yeye kazi yake ni kukusanya mapesa na anapopata mwanya basi anautumia ule mwanya ipasavyo
tatizo ni viongozi wetu wanapotaka kula wanawatafuta hawa watu wenye asili ya ki asia au light skin ppl na kuwapa hizo mianya ya kuiba.
wapi umeona kiongozi wetu weusi akatoa mwanya au kula kwa mweusi mwenzake?..nil..hii ni kasumba yetu weusi tunaposhirikiana na hawa watu(weupe)tunaona ni kama ka status....ndo maana dada zetu wanatumia mkorogo ili kupata hiyo ngozi
Mwanatanu,
Heshima, utukufu na enzi iwe kwake aliye juu,
Nakubaliana nawe kwa sehemu kubwa ya ujumbe wako isipokuwa sehemu ndogo tu, ya mwisho.
Hasa EL hamhusishi Mweusi katika biashara yoyote; iwe halali au halamu. Na Mdanganyika mweusi ukipeleka Clean Business Idea or Opportunity kwa EL umeliwa. Atafanya mwenyewe na Wahindi.
Hebu angalia Leopard Tours. Front desk na management nzima ni wahindi. Kwa macho ya haraka utafikiri kampuni ya Wahindi kumbe kitegauchumi cha EL.
Kuna utani kuwa, jinsi EL anavyowahusudu weupe, siku moja alimsindikiza JK saloon kuweka "yale mambo yetu yale" Walipofika JK akamshawishi naye aweke asionekane umri unapiga kasi. Kwa kuwa EL anahusudu sana weupe akamwambia mie waniwekee ya kuongeza weupe kichwani niwe kama mzungu na kama utaniruhu nita-cream