Sura-ya-Kwanza
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 566
- 10
MA MODS nao wajiuzulu Hawajui kazi. Wawajibishwe, Hawafai. Wajiuzulu. Kitaeleweka tu
MA MODS nao wajiuzulu Hawajui kazi. Wawajibishwe, Hawafai. Wajiuzulu. Kitaeleweka tu
Ndio maana kila siku mimi nasema Waafrika Ndivyo Tulivyo!! Huyu Lowassa sasa ni zaidi ya muongo mmoja amekuwa akituhumiwa/ kuhusishwa na ufisadi lakini cha kushangaza bado anapewa madaraka serikalini tena ktk nafasi nyeti. Hivi hili kundi la mafisadi waliokubuhu Tanzania lina wangapi? Nina imani kabisa hata elfu mbili hawafiki kwa sababu miaka nenda rudi ni majina hayohayo tunayoyasikia. Kwa kweli inashangaza kuona taifa lenye watu karibu milioni 40 likiwa "pimped" na kikundi cha wafisadi wachache!! Chini ya moyo wangu sitaki kabisa kuamini kwamba kweli sisi Waafrika Ndivyo Tulivyo lakini kwa kutumia kichwa changu na macho yangu ninajikuta sina jinsi zaidi ya kufikiri kuwa labda ni kweli Ndivyo Tulivyo.
Ndio maana kila siku mimi nasema Waafrika Ndivyo Tulivyo!! Huyu Lowassa sasa ni zaidi ya muongo mmoja amekuwa akituhumiwa/ kuhusishwa na ufisadi lakini cha kushangaza bado anapewa madaraka serikalini tena ktk nafasi nyeti. Hivi hili kundi la mafisadi waliokubuhu Tanzania lina wangapi? Nina imani kabisa hata elfu mbili hawafiki kwa sababu miaka nenda rudi ni majina hayohayo tunayoyasikia. Kwa kweli inashangaza kuona taifa lenye watu karibu milioni 40 likiwa "pimped" na kikundi cha wafisadi wachache!! Chini ya moyo wangu sitaki kabisa kuamini kwamba kweli sisi Waafrika Ndivyo Tulivyo lakini kwa kutumia kichwa changu na macho yangu ninajikuta sina jinsi zaidi ya kufikiri kuwa labda ni kweli Ndivyo Tulivyo.
Mzee Mwanakijiji
Re: Inatosha - Lowassa Jiuzulu! UCHAMBUZI WA KISIASA
M. M.
RA ameingia Dodoma muda si mrefu uliopita... sijui anatokea wapi...
Mkuu Mwenzangu,
1. the dataz ni kwamba Muungwana, alipelekewa ripoti kwanza nyumbani, akaonywa kuwa kuna watu wake huko ndani ya ripoti, akawaambia waende nayo hataki kuiona isemwe kama ilivyo isiondolewe kitu chochote,
Mkuu Mwenzangu,
1. the dataz ni kwamba Muungwana, alipelekewa ripoti kwanza nyumbani, akaonywa kuwa kuna watu wake huko ndani ya ripoti, akawaambia waende nayo hataki kuiona isemwe kama ilivyo isiondolewe kitu chochote,
2. Alipowasili Dodoma, Air-Uchumi hakuenda Airport!
stay tuned.....!
Hivi hoja hii inaweza kufikishwa Chamwino kwa Muungwana?
Tumuunge mkono Mwakyembe kama tulivyomuunga mkono Zitto.
Hivi mtu akifukuzwa kazi kama Waziri Mkuu bado anawajibika kupewa heshima na marupurupu ya cheo hiko?
Grey Mgonja anakuwa "featuring" kwenye kila ripoti ya ubadhirifu, hivi ni kitu gani kinamfanya asiwajibishwe mpaka sasa? Hivi hili la BOT yeye limempitia kando kweli?
Naomba kueleweshwa, kwa nini ako kazini hadi leo wakati madudu waliyofanya na Balali yanatosha kabisa kumnyang'anya kazi?