Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Timu hii kali ya Tukuyu Stars ilishiriki kwa mara ya kwanza ligi kuu mwaka 1986 na kuchukua ubingwa.
Timu hii ilitisha bara na visiwani, lakini leo tunapoongea haya inashiriki ligi daraja la nne na inataka eti ipande daraja. Kikubwa na kizuri zaidi bado ina ndoto za kucheza ligi kuu.
Timu hii ilitisha bara na visiwani, lakini leo tunapoongea haya inashiriki ligi daraja la nne na inataka eti ipande daraja. Kikubwa na kizuri zaidi bado ina ndoto za kucheza ligi kuu.