Inasikitisha, Tukuyu Stars ipo daraja la nne.

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,832
Timu hii kali ya Tukuyu Stars ilishiriki kwa mara ya kwanza ligi kuu mwaka 1986 na kuchukua ubingwa.
Timu hii ilitisha bara na visiwani, lakini leo tunapoongea haya inashiriki ligi daraja la nne na inataka eti ipande daraja. Kikubwa na kizuri zaidi bado ina ndoto za kucheza ligi kuu.
 
Timu hii kali ya Tukuyu Stars ilishiriki kwa mara ya kwanza ligi kuu mwaka 1986 na kuchukua ubingwa.
Timu hii ilitisha bara na visiwani, lakini leo tunapoongea haya inashiriki ligi daraja la nne na inataka eti ipande daraja. Kikubwa na kizuri zaidi bado ina ndoto za kucheza ligi kuu.

Niliposoma post yako nimekumbuka timu kama nyota nyekundu, RTC Kagera, Sigara, Pan African nk na enzi za kusikiliza matangazo ya mpira ktk Radio Tanzania, those days dah
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.

Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.
 
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.

Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.

kuna siku pale uwanjani watoto wa Isanga walipigana na wa Nonde, balaa lake likachafua mji mzima.
 
Timu hii kali ya Tukuyu Stars ilishiriki kwa mara ya kwanza ligi kuu mwaka 1986 na kuchukua ubingwa.
Timu hii ilitisha bara na visiwani, lakini leo tunapoongea haya inashiriki ligi daraja la nne na inataka eti ipande daraja. Kikubwa na kizuri zaidi bado ina ndoto za kucheza ligi kuu.

Dah Mkuu umenikumbusha mbali sana. Enzi za Mecco na Tukuyu Stars. Those were the days. karibu kila mkoa kulikuwa na timu ligi daraja la kwanza except kama sijakosea Mara, Rukwa, Singida, Pwani na Lindi. Wakati mpira ulikuwa balanced. Mambo yalianza kuharibika pale simba na yanga walipoanza kununua wale wachezaji wazuri na kuwalundika Dar. Inawezekana Dewji na Gulamali walituharibia mpira kwa pesa zao.
 
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.

Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.

Ubabe wa kipindi kile ulikuwaga noma,
Nilishawahi kupita kwenye ule mtaro wa maji machafu, Kufika uwanjani nikakuta sehemu ya kutokea kuna FFU na Mbwa, alafu siwezi kurudi nyuma kwani kulikuwa kuna watu nyuma yangu na kupishana ni ishu, Jamaa akanambia "dogo lete hela au kama vipi naachia mbwa uhangaike nae" nilikua ninajiti Nikampa na akaniruhusu kuingia kazi ilikua kwa jamaa wa nyuma yangu hakuwa na hela ilikua noma, kula virungu mpaka noma!

Memories
 
Dah Tukuyu Stars maskini, ilileta burudani kweli miaka ile, mara ya mwisho kuiona Tukuyu Stars ni siku ilipocheza na Yanga pale Sokoine,Yanga walishinda 2-0,la kwanza alifunga Mohamed Hussein na la pili alifunga Said Mwamba kama sikosei.
Kipindi maisha ya soka yalikuwa sana redioni na uwanjani, natamani turudi kule tulikotoka!
 
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.

Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.

mkuu, umenikumbusha enzi hizo "nikiwa mtoto wa laini" sisi enzi hizo tulikuwa tunadandia tu kalandinga la ffu tunaingia kiulaini uwanjani, du nilitokea kuwa shabiki wa mpira ghafla kwa sbabu ya kuzamia kila mechi bila jasho. ni kipindi hicho ndo nilishuhudia kila timu live, na zilikuwa zinakuja mara mbilimbili, mara moja mecco na nyingine tukuyu, duh, kumbe na mimi nimetoka mbali eeeh?

hahah nakumbuka mechi moja ya fungua dimba myambala mmoja anaekwenda kwa jina la ikupilika nkoba, alitia nuksi sana simba, bila kumsahau mzee mmoja mtata sana alikuwa maarufu kama "ahadi" alikuwa shabiki la kutupwa la banyambala! hahahaa , i like those old days!!
 
Ubabe wa kipindi kile ulikuwaga noma,
Nilishawahi kupita kwenye ule mtaro wa maji machafu, Kufika uwanjani nikakuta sehemu ya kutokea kuna FFU na Mbwa, alafu siwezi kurudi nyuma kwani kulikuwa kuna watu nyuma yangu na kupishana ni ishu, Jamaa akanambia "dogo lete hela au kama vipi naachia mbwa uhangaike nae" nilikua ninajiti Nikampa na akaniruhusu kuingia kazi ilikua kwa jamaa wa nyuma yangu hakuwa na hela ilikua noma, kula virungu mpaka noma!

Memories

Ni kweli kabisa, lile karavati linatokea zilipokuwa zinapaki karandinga. Hata hivyo watoto wa kipindi hicho walikuwa hawaoni shida kuamkia central jumatatu yake..
 
kaka unanikumbusha enzi za kupita fonka hahahaaa...ukishaingiza kichwa tu hurudi maana ukitaka kurudi nyuma yako kuna mtoto wa isanga na kiwembe anakuparuza unyayoni hahahaaaaa nimecheka hadi mbavu zinaniuma
Duuh! So sad. Hakuna timu imewahi kupendwa Mbeya kama 'Banyambala', hadi kina mama walikuwa wanaenda uwanjani kuangalia mazoezi (uwanja wa mpira tukuyu mjini, karibu na stendi) na wakati wa mechi sokoine. Hizo ni enzi za kina 'Kaka' ambaye alikuwa mmoja wa wafadhili wa hiyo timu. 'Banyambala' ndo timu kongwe ya wananchi, acha hii prison ya serikali.

Ghafla, nimeikumbuka pia MECCO! Enzi za kuruka ukuta wa uwanja wa sokoine na raha nyingine ya uwanja wa sokoine kipindi hicho ni kwamba ukiwa nje unaweza kuona nusu uwanja muda wote. Machokora wa Isanga na ubabe wao, almanusura wanitoe kafara kwa kosa la kumwambia mmoja wao asigeukegeuka, ananizuia kuona mpira, nikaviziwa mpaka lift valley hotel mie sina habari. Watu wazima waliniokoa. Kipindi hicho Yanga akija kucheza na Banyambala inakuwa mechi kali balaa, kulikuwa na upinzani mkali sana tofauti na leo ambapo upinzani hasa ni simba na yanga. Hakuna tena 'TP Lindanda' ya masatu na john makelele 'zigzag', wala si majimaji ya celestine sikinde mbunga.
 
Back
Top Bottom