Mercy Clara
Member
- Mar 11, 2010
- 16
- 0
Mtu kuangamiza familia yako sababu ya mapito ya dunia?
Nazungumzia suala la mtu mmoja kuchoma nyumba makusudi kwa nia ya kumwangamiza baba yake na mama yake wa kambo, Hii ishu ilitokea siku mbili zilizopita huku Mbeya, Soweto ambapo kijana mmoja alikuwa amekorofishana na baba yake ndio akaamua kuchoma nyumba moto kwa kumwagia Petrol then kuilipua. Sasa basi kabla hajafanya hivyo aliwakataza dada yake na mke wake kulala kwenye nyumba ile kwa siku ile ila watoto wake walilala na wamojawapo wa watu waliokufa. Sasa je binadamu kama binadamu mwenye akili yako timamu unaweza ukafanya kitu kama hicho?
Embu tulonge wana wa JF.
Nazungumzia suala la mtu mmoja kuchoma nyumba makusudi kwa nia ya kumwangamiza baba yake na mama yake wa kambo, Hii ishu ilitokea siku mbili zilizopita huku Mbeya, Soweto ambapo kijana mmoja alikuwa amekorofishana na baba yake ndio akaamua kuchoma nyumba moto kwa kumwagia Petrol then kuilipua. Sasa basi kabla hajafanya hivyo aliwakataza dada yake na mke wake kulala kwenye nyumba ile kwa siku ile ila watoto wake walilala na wamojawapo wa watu waliokufa. Sasa je binadamu kama binadamu mwenye akili yako timamu unaweza ukafanya kitu kama hicho?
Embu tulonge wana wa JF.