Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Wana jf wenzangu,
kwa kweli inasikitisha sana kuona mtu anaipenda CCM kwa moyo wake wote..........! Hivi mtu kama huyu tumfanyeje jamani, unajua anatia hasira sana.............maisha magumu, mambo hayaendi, viongozi wakiwemo wabunge wao wanatukana wapiga kura wao................sijui nisemaje mnielewe, lakini hapana CCM tuiweke pembeni.
Kama Zambia waliweza..................Senegal waliweza, kwa nn sisi Watanzania Tushindwe?
Lets decide guys!
Hallo mawazo yako ni mazuri lakini Tanzania ina asilimia kubwa ya maiti zinazo ishi.