kuna kitu kimoja sikielewi, iweje Dr Kamala aende kuhojiwa central wakati kesi iko mahakama ya kazi? hii ni sheria ipi kwa mnaujua sheria ya kazi hebu tunaomba mtufafanulie juu ya jambo hili.
Cha pili sikielewi ni kwamba, naamini kikwete alifanya uchunguzi juu ya jambo hili la madaktari na kulitolea hukumu, sasa huko mahakamani hii kesi bado inafanya nini ikiwa kikwete keshaamua kwamba wasiopenda mshahara wa serikali waende kwingine.
Wanazidi kutupa utata tu hawa ccm, hivi wamekuwaje jamani au ni laana za kuingia madarakani kwa uongo na udhalimu wa haki za binadamu? maana sasa imezidi.
Cha pili sikielewi ni kwamba, naamini kikwete alifanya uchunguzi juu ya jambo hili la madaktari na kulitolea hukumu, sasa huko mahakamani hii kesi bado inafanya nini ikiwa kikwete keshaamua kwamba wasiopenda mshahara wa serikali waende kwingine.
Wanazidi kutupa utata tu hawa ccm, hivi wamekuwaje jamani au ni laana za kuingia madarakani kwa uongo na udhalimu wa haki za binadamu? maana sasa imezidi.