Electron
Member
- Jul 3, 2012
- 92
- 49
Habari nilizo nazo toka kwa chanzo kinachoaminika (mmoja wa madaktari) amesema kuwa kiongozi wa MAT (siyo Jumuiya ya Madaktari), Dr. Namala Mkopi anahojiwa muda huu hapo Central Police Station..... alipigiwa simu kuitwa kutoa maelezo eti kwa nini amekiuka amri ya mahakama ya kutositisha mgomo!!!!!!!
N.B. Mgomo wa madaktari uliitishwa na Jumuiya ya Madaktari nchini, chini ya uongozi wa Dr. Ulimboka na kamati yake dhabiti ukiungwa mkono na madaktari nchini. Aidha Dr. Namala alishakanusha kuwa si yeye wala MAT iliyoitisha mgomo.
Je mahakama na polisi wameingia chaka!! wanasheria tujuzeni!
More to come
Keep your friends close and your enemies closer. Don Coleorne
N.B. Mgomo wa madaktari uliitishwa na Jumuiya ya Madaktari nchini, chini ya uongozi wa Dr. Ulimboka na kamati yake dhabiti ukiungwa mkono na madaktari nchini. Aidha Dr. Namala alishakanusha kuwa si yeye wala MAT iliyoitisha mgomo.
Je mahakama na polisi wameingia chaka!! wanasheria tujuzeni!
More to come
Keep your friends close and your enemies closer. Don Coleorne