Inaruhusiwa mtu kumtukana mwenzio kwenye PM??????

Well:

Hebu nisome tena tusi!

Girlie Girlie said:
niache tafadhali
Huna akili pamoja upremium member wako. Ungekuwa na heshima ukaacha kunifatilia, endelea na maisha yako. I wish ningeweza kukublock milele!​


 
He Bila shaka huyu kakimbia milembe hasira zake kaona amalizie kwako ,
Vijimambo vingine ni vywa ku-ignore tu mradi hawiwezi kukuzuia kunywa maji
 
Mabomu ya gongo la mboto killed innocent people ikawaacha wahusika.
 
Mabomu ya gongo la mboto killed innocent people ikawaacha waliyoyastahili.
 
Not sure, what the hell does this mean?

Dena Amsi said:
Maana kila post nayopost unaifatilia kwa karibu sana mpaka kwenye nafasi za kazi umenifata na kuniuliza maswali mengiiiiiiii inaweza kuwa unanifahamu ila mimi ndo sikufahamu.

NB: Kama kuna kitu nimekukosea au kuna mahali nimekukwaza bila kujua tafadhali NISAMEHE SANA TENA SANA
 
Hivi mawakili huwa wanakuwepo wakati mwenye kesi akifanya kosa.

Usinambie wakili wa chenge alikuwepo wakati chenche akikibajaji kibajaji cha watu


Babu hujamuelewa huyu mjukuu ataka nini???? tamuuuuuuuuuuu,just you and her.....:hand::hand::rain:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom