Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Inaonekana kuwa sumu aliyopewa balali na mfanyabiashara mwenye asili ya Asia, inawezekana kuwa ni ileile aliyowekewa Mwakyembe, kama ni hivyo basi bado ipo kwenye ghala. Nani atafuata? tutegemee wengine kuelekea 2015?