yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Habarini za jion wana JF,nadhan mko vizr baada ya mihangaiko ya mchana kutwa.pia polen sana kwa kumpoteza kijana mwenzetu SCK tuliyemzika leo.
kuna jambo nimeliona ktk hii tasnia ya filam kufuatia umati wa watu waliofulika pale viwanja vya leaders na hata pale makaburin kinondon.ukiachilia mbali watu waliofulika katika maeneo hayo kuna wanajamii waliokua wako mafungumafungu mitaani wakiwa wakisikiliza radio ama kuangalia TV zilizokua zikirusha moja kwa moja mazishi hayo.wazo langu ni vp Bongo Movie inalipa sana kwani km umati ule uliofulika pale Leaders wananunua kazi zao basi itakua inawalipa sanahawa jamaa au we unaonaje mwana JF
kuna jambo nimeliona ktk hii tasnia ya filam kufuatia umati wa watu waliofulika pale viwanja vya leaders na hata pale makaburin kinondon.ukiachilia mbali watu waliofulika katika maeneo hayo kuna wanajamii waliokua wako mafungumafungu mitaani wakiwa wakisikiliza radio ama kuangalia TV zilizokua zikirusha moja kwa moja mazishi hayo.wazo langu ni vp Bongo Movie inalipa sana kwani km umati ule uliofulika pale Leaders wananunua kazi zao basi itakua inawalipa sanahawa jamaa au we unaonaje mwana JF