Inaniuma kumpa talaka....

huo sio mwisho wa maisha ndugu!

fanya maammuzi sahihi kutokana na mazingira na si hasira

pole sana!!!
 
Beating around the bush! gentleman have some guts and open up to let us know the gist of the matter so that we may share with you our experience...! You never know it may happen you are the cause of the breakdown!
 
Salaam wanajf wenzangu wote..

Lord have mercy…..

Uchaguzi wangu haujakuwa km nilivyofikiria itakuwa, mama inaniuma sana, mama anasema
Sio rahisi mwanangu kuelewa haya mambo ila natumai baadae utakuwa mwenye furaha tena.

Nakumbuka siku ya harusi kanisani, mhubiri akisoma neno na kukuwekea kinywani mwako ..nilikuona mrembo sana na usiye na hatia sikujua ndani ya urembo wako ulificha makucha ambayo yangeniparua siku zijazo..

Inaniumiza jamani..na sasa naelewa kwanini wanasema mwanamke mrembo ni wa kuchezewa na wanaume wengine…ee bwana naumia sana jamani.

its not easy!
The song of Lucky Philip Dude(R.I.P)...i like this song very much.
 
Hivi hiyo tabia mbaya ni tabia gani isiyo onywa,

umesema umefunga ndoa kanisani,

ushapeleka malalamiko kwa wasimamizi wa ndoa,

kwa Mchungaji/Padri

Na mshenga je?

Fuata utaratibu ikishindakana toa maamuzi, ila mama yako ni lazima ajue kinachoendelea.

huo sio mwisho wa maisha ndugu!

fanya maammuzi sahihi kutokana na mazingira na si hasira

pole sana!!!



Jicho la 3/mama D na wote mnaojiuliza kwanini?
Kweli sijapeleka popote hili swala zaidi ya hapa sababu mambo aliyonifanyia ni aibu kuyaeleza na nimeonya hadi nimesema basi hebu fikiria mimi nimeenda safari nikarudi gafla ili nim-suprise wife nakuta yuko ndani na mume wa mdogo wangu (mama alikuja kwaajili ya vipimo wakati shem ni mfanyabiashara akija huku anafikia kwangu) nilipomueleza mama yangu anasema yeye aliwahi kumuona shemeji yangu anapanda ngazi akielekea chumbani kwangu ninakolala wakati yy bedroom yake iko chini usiku wa manane ila mama alipiga kimya kuhofia kuvunja ndoa yangu..pia niliumia kwanini mama hakunieleza mapema? Sasa hapa sio aibu hii wanajf wenzangu?

 
its not easy!
The song of Lucky Philip Dude(R.I.P)...i like this song very much.

Valid statement you may think this is song it can be but them songs /movie they most of time speak/act of life inwhich were leaving in...it has happen to me recently
 
Utakiwi kumuacha kwa siri be honest,
kwa ndoa ya kanisani wa2 watajaj why, lakn kaa kifamilia
nampa talaka kwa sabb hii tosha, ur mom mwambie cz ametenda ndani ya nyumba yako tena chumbani kwako
in ur bed,
Piga chini (UZURI WA SURA AU UMBO SI UZURI WA TABIA.
aiseeeeeeeeeeeeeee baadhi ya wanawake hawana hata hofu ya Mungu,
 
Kuna wanawake aibu hamna, if ni kweli kaumiza wifi na mumewe! wangeenda mbali basi kama walishindwa kujizuia!
 
Pole sana kaka huyu amekukosea sana. Ila mama yako ana busara msikilize kwa makini.

Hiyo sentence yako ya mwisho! Umalaya, kutokuwa mwaminifu ni tabia/hulka za mtu katu haziendani na urembo wala uzuri wa mtu! Mbona wapo wanawake warembo na wametula mpaka tunawashangaa waume zao kinachowahangaisha?!
 
Hivi hiyo tabia mbaya ni tabia gani isiyo onywa,

umesema umefunga ndoa kanisani,

ushapeleka malalamiko kwa wasimamizi wa ndoa,

kwa Mchungaji/Padri

Na mshenga je?

Fuata utaratibu ikishindakana toa maamuzi, ila mama yako ni lazima ajue kinachoendelea.

kwanza asisingizie kuwa kasisi alimtia maneno mdomoni.................................ni kitu gani kilimpeleka huko?

Pili maneno hayo uliyotiwa mdomoni ni kiapo cha milele na Mwenyezi Mungu ndiye shahidi wenu wa hiyo ndoa kwa hiyo hakuna kumwacha na ndiyo maana nafsi yako inakusuta........... Malachi 2: 14-16

Penye udhia unapaswa kuwashirikisha wenzio......................ukimwacha bila ya kuufuata utaratibu majibu yapo kwenye Mathew 18:9 na Mathew 24:35

Kumbuka huo ni mtihani ukiushinda neema zipo mbeleni....................mvumilivu hutuzwa na Muumba kwa hiyo usimtimue mwenzio kwa mapungufu yake ila uwe mfano kwake kwa matendo na fikra zako.......1 Peter 2:20, 1 Peter 3:7, 17 na James 1:12.
 
pole sana mkuu ni vyema kusema maana hakuna siri tena ktk hilo.ILA TUNAJIFUNZA MAMBO YAKUKUTANA NA WATU POSTA KAVAA VIZURI KAPENDEZA MIEZI MIWILI BAADAE NDOA MATOKEO YAKE HUWA HAYA
 
Salaam wanajf wenzangu wote..

Lord have mercy…..

Uchaguzi wangu haujakuwa km nilivyofikiria itakuwa, mama inaniuma sana, mama anasema
Sio rahisi mwanangu kuelewa haya mambo ila natumai baadae utakuwa mwenye furaha tena.

Nakumbuka siku ya harusi kanisani, mhubiri akisoma neno na kukuwekea kinywani mwako ..nilikuona mrembo sana na usiye na hatia sikujua ndani ya urembo wako ulificha makucha ambayo yangeniparua siku zijazo..

Inaniumiza jamani..na sasa naelewa kwanini wanasema mwanamke mrembo ni wa kuchezewa na wanaume wengine…ee bwana naumia sana jamani.

pole bro, upo kwenye kipindi cha kujaribiwa kiwango chako cha ustahmilivu, uvumilivu, uelewa na ikibidi kusamehe.
hakuna jaribio kubwa kuliko uwezo wako, pambana....ndio ukubwa huo,...ukubwa jaa...wengi wetu tumepitia huko huko..

...STILL,...there's life after all that pain you are going through!!!
 
pole sana mkuu ..

haya mambo kwa sasa yamekuwa ni ya kawaida kwani wengine hupenda kuingia kwenye ndoa wakai hawaelewi umuhimu wa ndoa au kwa nini wameolewa ,, na matendo yao hayawi kama wanandoa wanavyotarajia
 
Kaka pole sana if it is true. Mimi huwa nawaambia marafiki zangu wa kike kwa kiume kuwa Ukioa au kuolewa na mtu mwenye HOFU YA MUNGU UMESHINDA BALAA ZOTE. lakini ninachojaribu kukushauri ni kumtoa wife out mweleze kila kitu na umpe onyo kali kisha msikilize atakayoongea alafu mpe nafasi ya kubadilika na nawe pitia upya mfumo wako wa maisha angalia ni madhaifu gani kutoka kwako yanaweza kusababisha hayo yote na umchunguze kwa kina ukiona bado hana hofu wala habadiliki ndugu yangu PIGA CHINI USIJE UKAFA BURE. Mwisho mimi napiga vita sana hao ndugu wanakuja kuja tena mme wa mdogo wako anazoea nyumbani kwako hivyo kwanini usifikie hatua uwe very selective?? OVER
 
Mkuu kama inakuuma kumpa talaka basi bado unampenda. Jaribu kumsamehe makosa yake pamoja na makosa hayo yanaweza kuwa ni makubwa sana kwa kufanya kikao kitachoshirikisha Wazazi, ndugu, jamaa na hata marafiki ili wawasaidie katika matatizo yenu. Unaweza kumuacha huyu ukampata mwingine ukaona huyu uliyemuacha alikuwa ana afadhali. Msamehe Mkuu na umpe nafasi nyingine labda atajirekebisha na kuwa mke mwema. Kila la heri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom