Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,502
- 19,341
Nyani Ngabu alikuwa boara mzuri sana ambaye nilikuwa sikosi kupitia post zake hata kama niko bize namna gani ingawa alikuwa akitoa pumba nyingi sana. Inaniboa sana siku hizi kuwa hakuna Nyani Ngabu tena, nasikia kuwa kuna kitu kinajiita Julius kimechukua nafasi ya Nyani Ngabu. Sipendi kabisa hii kitu inaitwa Julius, ninataka Nyani orijino sasa hivi.