ambili
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 243
- 15
wakuu tokea jana kila nikijaribu kubrowse kwa kutumia ile neti yetu ya bure kutoka voda ,ina nitolea mbavuni au ndo washatupiga pini !
Maana you tube video hazichezi hata page ya jamii forum haifungui naishia kuingia google tu. Nijuzeni tafadhali or Am i missing some thing?
Maana you tube video hazichezi hata page ya jamii forum haifungui naishia kuingia google tu. Nijuzeni tafadhali or Am i missing some thing?