Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
kwa hiyo wewe unafagilia wale wanaodanganya sijui nina rafiki yangu mkewe kamwita buzi afanyaje? humu jukwaani watu wanaleta mambo yao wanapewa ushauri kama visa kama hivi haviji humu jukwaa hili litajadiliwa mambo gani? au tuanze kuleta na mambo ya siasa?mkishaanza kuripoti mambo yenu ya ndani hapa ni dalili za kuchokana huko...mkalishe kitako,malizeni mambo yenu ndani kwenu huko