Inakuweje mtu kaolewa/kaoa lakini bado........

Sababu ni moja tu: Huyo aliyenaye kwenye ndoa kuna manjonjo hampi ambayo alikuwa akiyapata kwa mpenzi wake wa zamani.
Mfano:
1. Ashakum si matusi, kwa mdada/mkaka aliyezoea kuliwa/kula tiGo, akiingia ndani ya ndoa halafu mwenzi wake akawa hafanyi hicho kitendo, lazima atatoka nje kuitafuta hiyo service.
2. Kuna mada nilisoma humu jamaa alikuwa hawezi 'kumpiga deki/kuzama uvinza' kwa mkewe, wakati huo mkewe anamlalamikia jamaa kuwa ye kazoea kitendo hicho, hapo mwanamke atatoka nje tu.
 
Ni rahisi kutoa ahadi wakati wa harusi lakini ni shida kubwa sana kutimiza ahadi za ndoa. uvunjwaji wa ahadi za ndoa unaweza kutokana na sababu lakini sababu ya msingi ni zile zinasosababishwa na wanandoa wenyewe kujindwa kutojiheshimu na kutomheshimu mwenzi wa ndoa.
 
Ni ulimbukeni wa kuingia kwenye ndoa bila kujua miiko ya ndoa. Ukishaoa au kuolewa unapaswa kusahau watu wote mliokuwa mkicheza nao.
 
Mi naona tamaa zaidi,kuoa cause umempa Mdada mimba na ukapata shinikizo toka kwa wazazi au dada, huku mwenyewe ulikuwa unapita tuu.!!!!! Kwa wadada walifuata mali na na wanaowapenda sio walliowaoa jamen!!

Hapo umenena mkuu. Halafu, hiyo avatar, watoto wanachungulia nini? Tamaa hiyo?
 
dah! kweli.. g.f wangu aliolewa.. lakini akawa bado ananisumbua sana.. dawa ni mimba tu alipopata mimba akajuwa kwamba kumbe anaaisha yake sasa..

ni tabia tu.. mazoea yana tabu
 
Teh teh teh teh uwiiiiiiii mbavu zangu mie The Finest!!!
Usinifanyie hivyo mie mtoto wa mwanamke mwenzio sio vizuri niambie nije na washenga wangapi vipi mahari wazazi wanahitaji nini nijue mapema
 
Solution: Take time to study one another before getting married. Ndoa si kitu cha KUKURUPUKA. Tafakari kabla ya kuamua kuingia kwenye maisha ya ndoa. Kama unapenda TIGO nadhani ungemsoma mkeo kabla ya kumuoa ungejua si mtu wa TIGO hivyo ungeendelea kutafuta. I repeat, unatakiwa uwe katika uhusiano wa kirafiki na si uchumba (maana uchumba ni commitment tayari) for at leat ayear ndo ufikirie ku-propose.

Sababu ni moja tu: Huyo aliyenaye kwenye ndoa kuna manjonjo hampi ambayo alikuwa akiyapata kwa mpenzi wake wa zamani.
Mfano:
1. Ashakum si matusi, kwa mdada/mkaka aliyezoea kuliwa/kula tiGo, akiingia ndani ya ndoa halafu mwenzi wake akawa hafanyi hicho kitendo, lazima atatoka nje kuitafuta hiyo service.
2. Kuna mada nilisoma humu jamaa alikuwa hawezi 'kumpiga deki/kuzama uvinza' kwa mkewe, wakati huo mkewe anamlalamikia jamaa kuwa ye kazoea kitendo hicho, hapo mwanamke atatoka nje tu.
 
SIelewi pale mtu anapo justify kutoka nje ya ndoa eti wife/hubby hanifikishi! Inamaana hamjawahi kutest kabla ya kuoana? Au ndo wale mnaoa na kuolewa na mabikira? If you had a perfect relationship before marriage there is abig chance of solving whatever challenge that you will face kwa kuwa at least you had good times that you can refer to while discussing your problems. Lakini kama ndo hivyo ulioa au kuoelwa kwa pressure ya umri au sijuhi mimba, ndoa inaweza kuvunjwa over nght.
 
Hivi sinai unasema kwa nini ina maana hujui au nduo vipi, watu wanatoka wanakuwa wamechoka au mahusiano yameharibika mume kapata bibi mama home nae anatafuta pa kujisitiri
 
Wanawake nikama mnyama mtamu porini lazima wa windwe kwa kila hali!!Nazaidi ukinunua jiko siyo kwamba usile hotelini!!!
 
Back
Top Bottom