Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa maana watu wanaiga hadi sahihi ya Waziri Mkuu mwenyewe anachekelea tu anaona ni jambo la kawaida hajui umuhimu wa sahihi yake kuwa inaweza kiingiza nchi vitani, nakumbuka kuna waziri mmoja UK alitemeshwa kazi kwa kubeba vibaya faili la kesi siikumbuki kesi yenyewe ingekuwa tanzania aliyelipiga picha lile faili angeweza kufunguliwa mashitaka ya kumfuatilia wariri kazini.Tanzania zaidi ya uijuavyo.