Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Kwa sasa kuna mgao wa mkubwa sana wa umeme Tanzania nzima lakini kinachonishangaza bili za umeme zinazidi kuongezeka kila mwezi, hii inakuwaje jamani??
unamaanisha bill gani?kwa nini usiwe na mita ya luku???Kwa sasa kuna mgao wa mkubwa sana wa umeme Tanzania nzima lakini kinachonishangaza bili za umeme zinazidi kuongezeka kila mwezi, hii inakuwaje jamani??
<br /> <br / nazungumzia malipo ya matumizi ya umeme kwa wanaotumia mita za kawaida, ushauri wako ni mzuri sana ila huku kwetu ukiomba ufungiwe luku wanakwambia hakuna zimeisha yn mateso mtindo 1unamaanisha bill gani?kwa nini usiwe na mita ya luku???