olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,303
- 1,559
Wakuu habari zenu
Jana nimesikiliza hotuba ya Mhe. Rais Kikwete, katika mambo mengi aliyozungumzia
Amesisitiza sana jinsi gani nchi inavyopatiwa misaada na nchi wahisani, amejisifu sana kuhusu wa-canada wanavyosifia shule za sekondari na wameonyesha nia ya kuongeza misaada. Sasa mi najiuliza inakuwaje rais ajisifu jinsi gani taifa linavyotegemea misaada?
Au watanzania tunapenda sana kuomba omba
Nawasilisha kwenu mi naona hainingii akilini
Jana nimesikiliza hotuba ya Mhe. Rais Kikwete, katika mambo mengi aliyozungumzia
Amesisitiza sana jinsi gani nchi inavyopatiwa misaada na nchi wahisani, amejisifu sana kuhusu wa-canada wanavyosifia shule za sekondari na wameonyesha nia ya kuongeza misaada. Sasa mi najiuliza inakuwaje rais ajisifu jinsi gani taifa linavyotegemea misaada?
Au watanzania tunapenda sana kuomba omba
Nawasilisha kwenu mi naona hainingii akilini