CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wana janvi Juzi nikiwa safarini kutoka mbuga ya Serengeti nilikutana na Story ya kushangaza kidogo, Kuna Dreva mmoja wa Hifadhi ya Ngorongoro aliangusha Gari la Hifadhi maeneo ya Kilima Tembo- Karatu na Lori hizi za Kubinua na lilikuwa ni Jipya kabisa halina hata miezi mitano, ILA CHA KUSTAJABISHA MARA TU BAADA YA DREVA KUPIGA CHINI HILO LORI, ALUIZIWA NA KUPANDISHWA CHEO MARA MOJA