Inakuwaje Filamu za ngono zinauzwa hadharani...?

Mkuu umeniwahi...Topic inafanana na yuza nem....

Naona mmekomalia hili jina, tatizo fikra zenu tu na si jina. lina ubaya gani? Ninahamasisha ngono? kivipi?
Inshort nimejitambulisha kuwa mimi(mi) mtamu, thats ma real name.
 
mtu mzima haulizi maswali bali ni vitendo na akishindwa huomba msaada kwa ndugu na jamaa. wewe kama wewe umefanya jitihada gani hadi unauliza imekaa vip?
 
Nilibahatika kutembelea nchi fulani za Magharibi. Maduka yanayouza vitu vya ngono ni sehemu wanayoingia watu wazima tu.

Nikashanga nilipokuta siku hizi, hata sigara zinafungiwa kwenye makabati na hazionekani na ukitaka sigara lazima wakinahi kuwa u mtu mzima ndio wakuuzie. Hata vinywaji vikali maduka yake tofauti hata supermarket hukuti vinywaji vikali vimeanikwa, mpaka uende maduka ya vinywaji na uwe umefikia umri wa kuingia humo.

Hapa kwetu hata bar utakuta watu wanaingia na watoto wadogo, utakuta mtu anampa mwanae beer, tana huku anajisifu "huyu anakunywa chupa nzima ya bia".

Usione tunavaa tai na makoti makubwa na tunaendesha magari ya mitumba ukafikiri Watanzania ni watu wa maana na wameendelea, hizo ni "cosmetics" na hazibadilishi mawazo na fikra za mtu. Hatuna maana hata kidogo, bado tuko nyuma sana kwa kila kitu chetu, na hii inatokana na kuwa elimu ya madarasani pekee haitoshi. Inabidi tubadilishwe "genetically" namna tunavyofikiri.

Mkubwa!
Haya makoti na tai ni tatizo kubwa sana kwn wengi kwa waliovalia karibia wanatupeleka kama vichwa vyao inavyotaka!

Tuna hasara sana na Nchi yetu inakoelekea!
 
Kuna maduka ya majarida na vifaa vya kujamihiana ambavyo maduka yake hujulikana kama Adult Store XXX
Una maanisha duka kama hili hapa ambalo mpiga picha wa Ikulu alitembelea kupiga picha wakiwa kwenye safari za kikazi za Rais wa Jamhuri?

STA70161-1.jpg
 
Maadili nei, hapa kila siku tunamwomba invisible na kampani yake watuwekee jukwaa la MALEZI tujadili kuhusu malezi ya watoto, wanapotezea; nina wasiwasi na maadili yao pia!
 
Maadili nei, hapa kila siku tunamwomba invisible na kampani yake watuwekee jukwaa la MALEZI tujadili kuhusu malezi ya watoto, wanapotezea; nina wasiwasi na maadili yao pia!

Yap! hii imekaa vyema, kukumbushana muhimu. Ikiwekwa hii kitu itasaidia wengi. Katika utandawazi, ma pornography yamejaa kila kona na hii kitu ikikukaa hata kusoma ni kazi. Tujaribu kukiokoa hiki kizazi cha jk jamani
 
Yap! hii imekaa vyema, kukumbushana muhimu. Ikiwekwa hii kitu itasaidia wengi. Katika utandawazi, ma pornography yamejaa kila kona na hii kitu ikikukaa hata kusoma ni kazi. Tujaribu kukiokoa hiki kizazi cha jk jamani
utazuia yasiuwze sijui mwenge,ubungo! je na kwenye internet? watoto wanamiliki masimu ya kila kitu! nawazazi mnawaangalia tu! wewe umeona kariakootu? hayo machaneli yakwenye maTV yenu hamyadhibiti hujayaona?
 
Watanzania tumeishiwa maadili, hata wewe unayelalamikia picha za ngono barabarani unatumia jina lililokaa kingonongono bila kujali kuwa JF kuna watu wa rika mbalimbali!..kwa vile wabongo ni wabishi utaanza kusema haukumaanisha hivyo navyofikiria, na niache kukufuatilia!..MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!
Mkuu umeniwahi...Topic inafanana na yuza nem....
Mwenye mamlaka ya ku-enforce Human Trafficking Act(Sections 4 & 7) ambayo
ime-criminalize porn in public ni nani??
Sheria ya magazeti(The Newspapers Act, 1976) pia imekataza haya mambo...
Au ndiyo mambo ya BONGO kila mtu ni Mlalamikaji, hakuna anayethubutu kuchukua
hatua...hata yule anayepaswa kuchukua hatua utamsikia akilalama...Mtoa mada
alipaswa kuchukua hatua kabla hajaleta malalamiko hapa...
TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO BORA
Hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo,
Enzi za maadili anayoyalalamikia huwezi kuta mtu eti anajiita MIMTAMU
Kifupi tumekuwa vipofu tusioona yetu bali ya wenzetu

 
Una maanisha duka kama hili hapa ambalo mpiga picha wa Ikulu alitembelea kupiga picha wakiwa kwenye safari za kikazi za Rais wa Jamhuri?

STA70161-1.jpg

Hiki ni kitu cha kubuniwa au ni picha ya tukio halisi? Mfanyakazi wa usalama wa Mkulu na magazeti ya serikali kuingia na kununua kifaa alichoshika mkono wa kulia na kupiga picha hadharani labda alikuwa under influence. Hata hivyo Jamii forums kuna lisilopitwa.
 
Mkuu mtoa mada umefanya vizuri kuja na hii mada ambayo inaonekana kuwakera wateja wa pornography.


Nimefuatilia post zako zinazowajibu hao wateja na kugundua kuwa una nia ya dhati ya kuanzisha mjadala ambao unaweza kuonyesha ukubwa wa tatizo la picha za ngono hapa bongo. Kwa kweli hata hao wanaozishabikia wanajua ukubwa wa tatizo japo hawataki kukubali waziwazi kwa sababu wana maslahi na hizo picha kwa namna moja au nyingine.

Tatizo hili linasababishwa na ugoiogi wa serikali katika kusimamia sheria na kulinda utamaduni, mila, desturi na maadili mazuri ya mtanzania. Sasa hivi kila mtu anafanya lake bila kujali matokeo ya jambo/mambo anayoyafanya [kinachoangaliwa ni kipato bila kujali uhalali wake]. Bahati mbaya sana watu wanaotakiwa kudhibiti maovu wanahusika na hayo maovu, sijui kama wanaweza kujidhibiti.


Leo tunazungumzia CD lakini tunapaswa pia kujiuliza ni namna gani tunaweza kudhibiti matumizi mabaya ya internet kwa watoto wadogo maana huko nako kuna mambo mengi. Na hili linapaswa kuwa jukumu la pamoja.
 
SAWA UNAWEZA UKAZUIA KUUZA HIZO CD HADHARANI WHAT ABOUT SIMU ZENYE MTANDAO?ambayo mtoto anabofya tu na anacheki ngono mpaka basi,what about intrent cafe?what about laptops zenye connection na moderm ambazo mtu anaweza kuchek porn any time?SWALA HAPO NI MAADILI NA KUJIHESHIMU TU SISI WENYEWE,PICHA ZA PORN SIO NZURI KABSA,
 
Jamani wadau imekaa vp hii, maana kila kona jamaa wamezitandaza tena kweupeee! Sipendi hii kitu, ni aibu hasa kwa watoto zetu waliopo huko mitaani.

Mimi nazitafuta kweli sizipati, hebu nisaidie nitazipata duka gani maana hizi wanazouza wamachinga sio nzuri mara ukute hazionyeshi mara picha ni zilezile mara fupi kwa kifupi hazina ubora. Kuangalia picha hizi ni sawa na kutafuta maufundi zaidi, kama ww hutaki kuzinunua upate maufundi vijana watakuwa wanakugongea kila siku. Nasikia kuna za kibongo nazitafuta sana ukiziona nishitue.
 
Back
Top Bottom