Nilibahatika kutembelea nchi fulani za Magharibi. Maduka yanayouza vitu vya ngono ni sehemu wanayoingia watu wazima tu.
Nikashanga nilipokuta siku hizi, hata sigara zinafungiwa kwenye makabati na hazionekani na ukitaka sigara lazima wakinahi kuwa u mtu mzima ndio wakuuzie. Hata vinywaji vikali maduka yake tofauti hata supermarket hukuti vinywaji vikali vimeanikwa, mpaka uende maduka ya vinywaji na uwe umefikia umri wa kuingia humo.
Hapa kwetu hata bar utakuta watu wanaingia na watoto wadogo, utakuta mtu anampa mwanae beer, tana huku anajisifu "huyu anakunywa chupa nzima ya bia".
Usione tunavaa tai na makoti makubwa na tunaendesha magari ya mitumba ukafikiri Watanzania ni watu wa maana na wameendelea, hizo ni "cosmetics" na hazibadilishi mawazo na fikra za mtu. Hatuna maana hata kidogo, bado tuko nyuma sana kwa kila kitu chetu, na hii inatokana na kuwa elimu ya madarasani pekee haitoshi. Inabidi tubadilishwe "genetically" namna tunavyofikiri.
so what!mimi kisukari,napenda vyakula vya sukari
Una maanisha duka kama hili hapa ambalo mpiga picha wa Ikulu alitembelea kupiga picha wakiwa kwenye safari za kikazi za Rais wa Jamhuri?Kuna maduka ya majarida na vifaa vya kujamihiana ambavyo maduka yake hujulikana kama Adult Store XXX
siku hizi maadili yamekwisha.
Maadili nei, hapa kila siku tunamwomba invisible na kampani yake watuwekee jukwaa la MALEZI tujadili kuhusu malezi ya watoto, wanapotezea; nina wasiwasi na maadili yao pia!
utazuia yasiuwze sijui mwenge,ubungo! je na kwenye internet? watoto wanamiliki masimu ya kila kitu! nawazazi mnawaangalia tu! wewe umeona kariakootu? hayo machaneli yakwenye maTV yenu hamyadhibiti hujayaona?Yap! hii imekaa vyema, kukumbushana muhimu. Ikiwekwa hii kitu itasaidia wengi. Katika utandawazi, ma pornography yamejaa kila kona na hii kitu ikikukaa hata kusoma ni kazi. Tujaribu kukiokoa hiki kizazi cha jk jamani
Watanzania tumeishiwa maadili, hata wewe unayelalamikia picha za ngono barabarani unatumia jina lililokaa kingonongono bila kujali kuwa JF kuna watu wa rika mbalimbali!..kwa vile wabongo ni wabishi utaanza kusema haukumaanisha hivyo navyofikiria, na niache kukufuatilia!..MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!
Hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo,Mkuu umeniwahi...Topic inafanana na yuza nem....
Mwenye mamlaka ya ku-enforce Human Trafficking Act(Sections 4 & 7) ambayo
ime-criminalize porn in public ni nani??
Sheria ya magazeti(The Newspapers Act, 1976) pia imekataza haya mambo...
Au ndiyo mambo ya BONGO kila mtu ni Mlalamikaji, hakuna anayethubutu kuchukua
hatua...hata yule anayepaswa kuchukua hatua utamsikia akilalama...Mtoa mada
alipaswa kuchukua hatua kabla hajaleta malalamiko hapa...
TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO BORA
Una maanisha duka kama hili hapa ambalo mpiga picha wa Ikulu alitembelea kupiga picha wakiwa kwenye safari za kikazi za Rais wa Jamhuri?
Alexander udinov ni soo tafuta picha zake utadata.
Hakika mi ni mtamu!
Jamani wadau imekaa vp hii, maana kila kona jamaa wamezitandaza tena kweupeee! Sipendi hii kitu, ni aibu hasa kwa watoto zetu waliopo huko mitaani.
lol.. we sasa una yako. utamu kwenye nini?
Hakika mi ni mtamu!