MMDAU
Member
- Aug 15, 2012
- 94
- 19
Nimejaribu kuchunguza katiaka jamii yetu hii ya kitanzania pamoja na huku jamii forum nikagundua kuwa watu wengi walio ktk mahusiano hayadumu (maranyingi ni kuanzia siku moja hadi miaka mitano) na hata ndoa nyingi pia hazidumu hivi tunamkosi gani binadamu wa sikuhizi, mapenzi yamekuwa kama nguo leo hii kesho ile magonjwa yameonekana ni jambo la kawaida nini hasa kimepelekea hivyo kila siku mtu kaachwa, mara mpenzi wangu simwelewi, mara watu wanatumia 065/071. kwanini jamani.
MUNGU atuepushe kwani tunapoelekea ni pabaya itafikia siku tunaowana asubuhi jioni tunaachana. watu wanaapa kuwa wataishi pamoja milele baada ya siku chache wana achana kwanini tunamdanganya MUNGU mbele za watu. kuwa na wapenzi wengi sikuizi ndio fashion. Inaniuma sana moyoni, marafiki wana salitiana bila woga, watu wanamsingizia shetani mpaka najiuliza hata kama shetani akizaliwa sasa hivi kisha akaonekana kwa watu watamuuwa japo hakuanza kutenda zambi. wakati mwingine tunajua kabisa kuwa tufanyalo sio sawa
MUNGU atuepushe kwani tunapoelekea ni pabaya itafikia siku tunaowana asubuhi jioni tunaachana. watu wanaapa kuwa wataishi pamoja milele baada ya siku chache wana achana kwanini tunamdanganya MUNGU mbele za watu. kuwa na wapenzi wengi sikuizi ndio fashion. Inaniuma sana moyoni, marafiki wana salitiana bila woga, watu wanamsingizia shetani mpaka najiuliza hata kama shetani akizaliwa sasa hivi kisha akaonekana kwa watu watamuuwa japo hakuanza kutenda zambi. wakati mwingine tunajua kabisa kuwa tufanyalo sio sawa