Inakuaje ukizidiwa hapa....??

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Ukandarasi huu.....ukizidiwa na tumbo au kama ni mlemavu sijui inakuaje hapa... hapo hata kuweka miguu katika hali ya kawaida ukiwa kwenye starehe ile ya kuwa mahali kama hapa inakuwa tabu tupu!!!

pencil.png
 

Attachments

  • 124461266609-178855123.jpg
    124461266609-178855123.jpg
    40.8 KB · Views: 542
Penye nia pana njia mkuu,ukitingwa na ile kitu lazima kitaeleweka tu kwa njia yoyote. Kama ni mlemavu anaweza kuachia mzigo hata hapo kwenye ngazi baadae 'mesenja' akaupeleka unakopaswa kwenda.
 
unapanda ngazi pole pole kwa mwendo wa kunyata huku ukijibana uzuri usije haribu kabla ya kufika. koh koh nlitaka kucheka nkapaliwa lol!
 
HIVI NGOSHWE HUWA UNAWAZA NINI?Mh,.KAMA SIO PHOTO SHOP BASI HIYO ITAKAKUWA NI ULAYA TU,..DU nimecheka ile mbaya
hii kali kweli choo kiko juu kama kwenye gorofa? ukiwa kilema si utamaliza haja yako japo chini tu. wahusika watakuja kusafisha tu.Vyoo vya ulaya unalipia hata ukichafuwa utakikuta kisafi powa tu.
 
Ukandarasi huu.....ukizidiwa na tumbo au kama ni mlemavu sijui inakuaje hapa...

pencil.png

Kuna watu huwa hawapendi vyoo vya kukaa kwa kuhofia magonjwa, hiyo ni kwamba unamaliza huku umesimama, badala ya kulazimisha kuchuchumaa kama ilivyokuwa vyoo vya pale UDSM, ukiingia unaona alama ya viatu juu ya choo cha kukaa.
 
Kuna watu huwa hawapendi vyoo vya kukaa kwa kuhofia magonjwa, hiyo ni kwamba unamaliza huku umesimama, badala ya kulazimisha kuchuchumaa kama ilivyokuwa vyoo vya pale UDSM, ukiingia unaona alama ya viatu juu ya choo cha kukaa.

Mkuu umenikumbusha mbali..jamaa yangu mmoja Mama Mkwe wake alikuwa hataki kutumia choo cha ndani cha design hii akidai kuwa hawezi kabisa "kukaa hapo juu ambapo mkwewe nae anaweka makalio yake". Kwake inakuwa ni kumvunjia heshima sana mkwewe kwa mujibu wa mila na desturi za kibantu..sasa shida inakuwa kwa nyumba za kupanga siku mama mkwe akija kukutembelea, inabidi akajisaidie kwa jirani!!!.

Hapo UDSM vyoo hivi vilipigiwa kelele sana kuwa vinakiuka haki za walemavu hasa pale unapokuwa mtu kawanga haja ndogo chini ya sakafu..hapapitiki kabisa kwa walemavu kama ilivyo kwa sasa pale NMB Morogoro Road ambapo mapokezi (huduma kwa wateja ipo angalini na nahuna lifti kwa walemabu kufika). Hii ipo pia kwa baadhi ya ofisi za Mawizara ya Serikali ambapo unakuta Ofisi ya waziri na Katibu Mkuu wake zipo ghorofani na hakuna lifti kuwezesha walemavu kumwona mtendaji Mkuu wa Wizara husika kirahisi.
 
Baadhi ya wasomi wa afya wana discourage vyoo vya kukaa kwa madai kwamba ukikaa sigmoid colon na rectum vinakuwa horizontal,hivyo kimba halitoki kwa uzuri na kubakisha mabaki mabaki kila unapoenda kujisaidia,hali hii huenda ikapelekea some problems on the long run

Indonesian Hemorrhoid Increase Blamed on Western Toilets
The recent development of using sitting toilets rather than squat commodes was increasing the incidence of hemorrhoids among Indonesians, a doctor said on Tuesday.

Eka Ginanjar, an internist from Cipto Mangunkusumo Hospital, said Western-style toilets were more unnatural than traditional conveyances because they caused more pressure to the rectal area.

Hemorrhoids are swollen and inflamed veins around the rectum that can cause sufferers considerable discomfort.

“Pressure and friction irritate the vulnerable set of veins and it happens because the intestines and the anus are not in an upright position when we use the sitting toilet,” Eka said.

He said sitting toilets also increased the chance of hemorrhoids when people did not wash afterwards.

“Feces is full of bacteria and it surely makes the condition around the rectal area worse,” Eka said. “Friction and bacteria will cause irritation and then lead to hemorrhoids.”

But he added that there were other factors involved.

“A sedentary lifestyle and low-fiber diet are the leading factors of hemorrhoids,” he told a weekly health talk show on KBR68H.

Also on the program was Fransiska, an office worker who has had hemorrhoids for more than a year.

She said sitting for many hours at work and a dislike of fruit and vegetables led to the condition.

She said doctors suggested changing her diet by adding fiber and taking physical exercise to cure the condition.

But she said that whenever she stopped her regime, the hemorrhoids returned.

Eka said not drinking enough water also could contribute to the problem.

“Water helps to soften the stool and it also cleans your intestines,” he said, adding that a person needed 30 milliliters of water per kilogram of weight every day.

He said genetics most likely played a role and knowing one’s family history could help people reduce the risk by living a healthy life.

“The key is to decrease pressure and straining and never sit for more than two hours at a time,” Eka said. “More fiber to reduce constipation and exercise, including walking, are the cheapest and easiest ways.”

He also said people should go to the bathroom as soon as possible when nature called, adding that surgery was sometimes necessary to treat the condition.

At Cipto Mangunkusumo Hospital, 20 percent of patients who had a colonoscopy in the past two years had been suffering from hemorrhoids.

“Hemorrhoids are curable when the triggers can be reduced,” Eka said, adding there were no statistics on the prevalence of the condition in Indonesia.

But the problem is very common in developed countries.

Web Site Hemorrhoids Treatments, Causes, Cures, Remedies, Surgery, Hemorrhoidectomy. estimates that half of all Americans have had this condition by the age of 50, and that 50 percent to 85 percent of the world’s population will be affected by hemorrhoids at some time in their life. According to the site, only a small number of sufferers seek medical treatment.

Annually, only about 500,000 people in the US are treated for hemorrhoids, with 10 percent to 20 percent of them requiring surgery.
 
rb3.gif
Seven Advantages of Squatting
1.Makes elimination faster, easier and more complete. This helps prevent "fecal stagnation," a prime factor in colon cancer, appendicitis and inflammatory bowel disease.
1.Protects the nerves that control the prostate, bladder and uterus from becoming stretched and damaged.
2.Securely seals the ileocecal valve, between the colon and the small intestine. In the conventional sitting position, this valve is unsupported and often leaks during evacuation, contaminating the small intestine.
3.Relaxes the puborectalis muscle which normally chokes the rectum in order to maintain continence.
4.Uses the thighs to support the colon and prevent straining. Chronic straining on the toilet can cause hernias, diverticulosis, and pelvic organ prolapse.
5.A highly effective, non-invasive treatment for hemorrhoids, as shown by published clinical research.
6.For pregnant women, squatting avoids pressure on the uterus when using the toilet. Daily squatting helps prepare one for a more natural delivery.
colon9.gif
sitting%20vs%20squatting.gif

Source
 
Mkuu Kadhi nimekusoma.

Ila sasa hili chaguo la vyoo ni ukiwa kwako, ukiwa kwa watu huo uhuru haupo, inabidi tu uvumilie.
 
Ukandarasi huu.....ukizidiwa na tumbo au kama ni mlemavu sijui inakuaje hapa... hapo hata kuweka miguu katika hali ya kawaida ukiwa kwenye starehe ile ya kuwa mahali kama hapa inakuwa tabu tupu!!!

pencil.png

E bana ee, hii picha inanikumbusha kadhia moja..Tulikuwa tunakata maji na jamaa zangu kwene kahoteli flani hivi huko kijijini, sasa baada ya kupiga raundi kadhaa bila kupima gauge ya pombemeter nikauliza simu twapiga wapi? Nikaoneshwa kamlango kako upstairs..

Cha msingi nilisavaivu ila nimejifunza ukitaka kula ulabu kwa starehe, anza kwanza kuuliza kilipo kibanda cha simu mapema!
 
haiwezekani choo kiwe juu hivyo bwana, sasa nani atakitumia? ila kama umezeidiwa utapata tu means ya kufika hapo in time!
 
Safi kabisa,,yaani ukifika hapo kileleni,,,, ukaanza ile shughuli,,kisha unawasha na fegi,,,aisee ngoja nichukue huu mchoro,,
 
haiwezekani choo kiwe juu hivyo bwana, sasa nani atakitumia? ila kama umezeidiwa utapata tu means ya kufika hapo in time!

Hii kitu most probably ipo kwa military base....aidha kwa recruit wanajeshi ama kwa mateso kwa wana mess nao.Nakumbuka kuna kambi moja kule home,ukienda kukata mti au kupita katika maeneo bila shughuli maalum.Wanakuuliza,kitu gani kimekufanya uje hapa,wengi walikuwa wanajibu ...njaa afande.

Wanakwambia ok kama ni njaa,wanakupa ugali(dah..nime u miss sana ugali jamani)mkubwa sana then mboga wanaweka juu ya mti,maji ya kunywa wanaweka mbali sana.Yaani hadi ukimaliza ule ugali mwanangu,kama utamaliza basi,hauna hamu tena ya kukanyaga eneo hilo.

So,huwezi jua,labda ukisema umebanwa na haja,huenda wakakupeleka kwenye hiyo kitu halafu wanakupa dk kadhaa tu utoke,sasa sijui kama utafika hapo juu.
 
hicho choo sio user friendly kwa nini basi uweke kwako?:twitch:

Oosh! lazima ujiulize kwanini kiwe juu hivyo? Vyoo kama hivi vipo vingi sana Dar, sababu kubwa ni urahisi wa kufungulia uchafu nyakati za mvua. Dar imekosa mfumo makini wa taka maji (liquid waste/sewer system) imewalazimu wakazi kuwa wabunifu na hii ni sehemu ya ubunifu.

Hata hivyo ni hatari kwa afya ya wanajiji wote, but maybe is their only best option.
 
Back
Top Bottom