inakuaje mnapo anza mahusiano wewe na mpenzi wako hata wiki haijaisha anaanza kukuomba pesa na huyo anaye kuomba ni mwanaume nisaidien jaman
Mkuki si unajuwa ni kwa nguruwe tu? Mie hata masaa sita hayakufika tayari nikaletewa orodha ya vitu vinavyotakiwa ...mbona wadada siku hizi anakutana na mtu asubuhi, saa 6 keshapiga mzinga mtakatifu, huyo amevumilia wiki moja, mbona ni mstaarabu tu!! ni fair play nadhani siku hizi. si wakina dada tu wa kupiga mizinga, hata wakaka nao wamo! hivyo tuvumiliane bi dada!
inakuaje mnapo anza mahusiano wewe na mpenzi wako hata wiki haijaisha anaanza kukuomba pesa na huyo anaye kuomba ni mwanaume nisaidien jaman
inakuaje mnapo anza mahusiano wewe na mpenzi wako hata wiki haijaisha anaanza kukuomba pesa na huyo anaye kuomba ni mwanaume nisaidien jaman
huyo mwanaume ni tapeli, shida yake ni pesa na anatumia mapenzi kama silaha.....shtuka......
inakuaje mnapo anza mahusiano wewe na mpenzi wako hata wiki haijaisha anaanza kukuomba pesa na huyo anaye kuomba ni mwanaume nisaidien jaman
damu ya baba mwanasha aka mzee wa kuhemea itatufuna milele, saa hii yupo new york kenda omba! yaani ni mizinga kuanzia rais mpaka watu wa chini! nchi hii, tufiakwa!Mkuki si unajuwa ni kwa nguruwe tu? Mie hata masaa sita hayakufika tayari nikaletewa orodha ya vitu vinavyotakiwa ...